Utafiti: Wakenya waongoza Afrika kwa kuwa na mawazo chanya - positive minded

Utafiti: Wakenya waongoza Afrika kwa kuwa na mawazo chanya - positive minded

Kumbe hujui watanzania wamejaa hapo kibera hata kushinda waganda. Waganda wakija huku ni watu wa kuchapa kazi lakini watanzania kazi yenyu ni kujaza uchafu Nairobi kwa kuomba kila kukicha kwa barabara, huku mkiwa na watoto. Yani wakenya tumechoka na hawa watu wenyu wavivu wasio fanya kazi. Tafadhali mje mwachukue wanachafua mazingira.
Wamejazana hadi mitaani asubuhi mapema hapa Fedha unawapata na vibakuli kila kona
 
Cha kushangaza ni kwamba hizo mitaa ulizotaja wale omba omba wenu wamevamia kama nzige na bakuli mikononi na nyusi zenye huruma
Magufuli awache kuexport watu wake uku.Wamekuwa nuisance sasa.Naskia wameinvade hadi uko mashinanani
 
Back
Top Bottom