Utafiti wako umegundua nini hapa JF?

Pia nimegundua Me wa jf wanajua Ke wa jf wote tunatoka dunia ya peke yetu yaani tuna sura zetu na maumbo yetu ni ya peke yetu hatufanani na walioko nje ya jf. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahahahahahahahahahahaahahahahahaaaaaa.

Ngoja nivute pumzi kwanza nitaendelea kucheka tena
 
Basi ng'amua na ukishang'amua usisahau kuja kutung'amulia ili wote tufaidike kwa kung'amua kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mtani,mtani ujue mtani sio vzr kufanya utani

[emoji767]101-03-821.M|T|C
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…