Hahahaaa. Ikiwa mitano inakaribia na nimeiona michache sasa kumi kwa nini isifike na wewe Avatar. [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hapana uipunguze mingi sana hiyo... Miaka ni namba tu bwana
Kabisaaaaa. Mtani na wewe unaamini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Natumai tutakua hai,tuone [emoji23]
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Basi sawa, sina budi kungojea [emoji4]Hahahaaa. Ikiwa mitano inakaribia na nimeiona michache sasa kumi kwa nini isifike na wewe Avatar. [emoji12] [emoji12] [emoji12]
12 March 2024 siku ya Jumanne. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaahaaaaaa. Vuta pumzi mdogo wangu kisha ucheke tu kwa kweli.Hahahahahahahahahahahahahahaahahahahahaaaaaa.
Ngoja nivute pumzi kwanza nitaendelea kucheka tena
Kwanza avatar yake tu ,inaleta ujumbe Fulani hivi ,au hujaona mpwa
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Hahahaaaa. Nawaona nawaona tu.Umeona eee.... [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Mie nakuamini sana mtani ,sina hofu na wewe kbsKabisaaaaa. Mtani na wewe unaamini. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Tumegundua Hajar mdada fresh sanaHahahaaaa. Nawaona nawaona tu.
Hebu tuandikeni tulichogundua bana tuacheni habari za Hajar banaaaaaa.
Hahahaaa. Kama umekataa kuniambia ako kaujumbe nafanyaje sasa mie Mtani zaidi ya kusema yaishe. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mmmh mtani yanaishaje ishaje sasa ,haya bana km umesema wewe mm [emoji87] ,kwa heshima yako mtani
[emoji767]101-03-821.M|T|C
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lolMtani,mtani ujue mtani sio vzr kufanya utani
[emoji767]101-03-821.M|T|C
Eewaaaaaaaaa. Tuombe uzima Insha Allah.Basi sawa, sina budi kungojea [emoji4]
Nitakuambia siku mtani, usijari mtani WanguHahahaaa. Kama umekataa kuniambia ako kaujumbe nafanyaje sasa mie Mtani zaidi ya kusema yaishe. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nilishaandika mie,, mtu atapost mkono... Kesho goti... Atakaa atapost nywele ... Akiona bado utakuta mgongo..Hahahaaaa. Nawaona nawaona tu.
Hebu tuandikeni tulichogundua bana tuacheni habari za Hajar banaaaaaa.
Hahahaaaaa. LolHajar jina tu linaleta kaujumbe... Allhamdullilha lahaula... [emoji27]
Pumzi imegoma kurejea, bora niache tu nisije kuwapa tabu Madaktari bure.Hahahaahaaaaaa. Vuta pumzi mdogo wangy ucheke tu kwa kweli.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ewaaaaaaaa. Kama mie nilivyogundua kwamba Me wa Jf jinsi utakavyojiweka ndivyo watakavyokuchukulia. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimegundua cheko lako Hajar[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
Wanaziba sura tu siku hzNilishaandika mie,, mtu atapost mkono... Kesho goti... Atakaa atapost nywele ... Akiona bado utakuta mgongo..
Humo moote anapita anatafuta ile sehemu pendwa akishaitupia.. Baada Ya hapo ndio atatuwekea sasa karibu ⅔ ya mwili bila sura [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Mi bado msimamo wangu ni kusubiria ya hajar [emoji56] [emoji56]
HahahaEwaaaaaaaa. Kama mie nilivyogundua kwamba Me wa Jf jinsi utakavyojiweka ndivyo watakavyokuchukulia. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]