[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio sababu ukijifungia kule hutoki rafiki.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ooh sawa,nimeelewa sasaHahahaaaa. Chunguza tu kukianza kuchafuka majukwaani Mtani ndio utajua kila tunalolifanya humu jf basi umakini ni muhimu.
Kabisa mdogo wangu zidi kuwa hivyo mwaya. Sababu wapo wengine nia zao ni kuchafua wengine tu.
Yaani hawajafuata kuelimika na kupata maarifa zaidi ndani ya JF.
Hahahaaaa. Wabadilike kwa kweli.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama wale wa picha za kuchora,wazuriiii hawana hata kovu la ndui
Usitoke rafiki huwa nafarijika kukuona kule kwani kiukweli tunaelimika wengi sana kwa Post zako.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ntapata hasara nikitoka mule
Jf nafkiri ina watu maalum. Au watu wake ni wa kundi fulani hivi. Kwasababu hata mimi nimeona watu wawili tu wanaoperuzi jf. Lakini ukiingia humu tuko wengi. Pia nafkiri jf ina tabaka fulani la watu waliosoma mpka ngazi fulani ya elimu. Kuna baadhi ya mada au michango ya members unakuta WENGI wana share historian Fulani ya kielimu au matukio yanayo ambatana na hayo au uuwasilishaji wake wa mawazo unaonesha huyu amesoma. Pia kuna wengine wanajichetua mara nyingi lakini siku akichokozwa anakuwa ktk sense na ana respond kwa ngazi fulani ya elimu.Nimegundua kuwa member wa JF huwa wanatumia simu wakiwa sehemu tulivu(au wakiwa peke yao)
Maana sijawahi kumwona mtu akitumia Jf publically
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusoma..ila sasa kama wana elimu ndo tusionane hata kwenye harakati za kawaida mfano tukiwa kwenye mwendokasi,waiting spaces kama za benki hospitali na nyinginezo??Jf nafkiri ina watu maalum. Au watu wake ni wa kundi fulani hivi. Kwasababu hata mimi nimeona watu wawili tu wanaoperuzi jf. Lakini ukiingia humu tuko wengi. Pia nafkiri jf ina tabaka fulani la watu waliosoma mpka ngazi fulani ya elimu. Kuna baadhi ya mada au michango ya members unakuta WENGI wana share historian Fulani ya kielimu au matukio yanayo ambatana na hayo au uuwasilishaji wake wa mawazo unaonesha huyu amesoma. Pia kuna wengine wanajichetua mara nyingi lakini siku akichokozwa anakuwa ktk sense na ana respond kwa ngazi fulani ya elimu.
Usitoke rafiki huwa nafarijika kukuona kule kwani kiukweli tunaelimika wengi sana kwa Post zako.
We zidi kuzimwaga tu jamaani tunufaike wote.
Hahahaaaa. Wabadilike kwa kweli.
Sisi ndio hao hao tunaogombania nao daladala na kupita madirishani. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] lol
Nimecheka kwa nilichokiandika sababu sijui kama na Me wa jf wanagombaniaga usafiri. [emoji85][emoji85][emoji85]
Nimecheka sana na naendelea kucheka hapaπππππππPia nimegundua Me wa jf wanajua Ke wa jf wote tunatoka dunia ya peke yetu yaani tuna sura zetu na maumbo yetu ni ya peke yetu hatufanani na walioko nje ya jf. ππππππ
Maneno yako sawiya kabisa HajarKabisa mdogo wangu zidi kuwa hivyo mwaya. Sababu wapo wengine nia zao ni kuchafua wengine tu.
Yaani hawajafuata kuelimika na kupata maarifa zaidi ndani ya JF.
π³π³πππNini usafiri hata masufuria ya wali wenye ukoko wanagombania pia,maisha haya
You killed it wanasahau kuwa ndio wanawake sisi sisi wanaokutana nasi huko kitaa π πPia nimegundua Me wa jf wanajua Ke wa jf wote tunatoka dunia ya peke yetu yaani tuna sura zetu na maumbo yetu ni ya peke yetu hatufanani na walioko nje ya jf. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaaaaaaa.Pale ni home sweet home
Hahahaaaa. Staki mieeee rafiki. Lol.Nini usafiri hata masufuria ya wali wenye ukoko wanagombania pia,maisha haya
Ndiooo. [emoji85] [emoji85] [emoji85]Nimecheka sana na naendelea kucheka hapaπππππππ
Acha tu rafiki inabidi tuwabadilishe kwa kweli.You killed it wanasahau kuwa ndio wanawake sisi sisi wanaokutana nasi huko kitaa [emoji14] [emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wa JF mmetokea sayar ya Mushtarik...... hamna doa hata! mwaogea maziwa sijui?Ndiooo. [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Cheka tu jamaani Sesten Weee. [emoji23] [emoji23]
Nmecheka sanaaPia nimegundua Me wa jf wanajua Ke wa jf wote tunatoka dunia ya peke yetu yaani tuna sura zetu na maumbo yetu ni ya peke yetu hatufanani na walioko nje ya jf. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uuwiiii. Yabidi tuje tukaishi huko kwa kweli maana itakuwa ni sayari bora sana kuwahi kutokea. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanawake wa JF mmetokea sayar ya Mushtarik...... hamna doa hata! mwaogea maziwa sijui?