Utafiti: Wanawake wa kuoa wanapatikana mtaani sio kwenye ulokole, shauri yako!

Kuna mabinti kibao naowaona kanisani ninaposali age 12-25 sasa najiuliza huo uhuni walifanyia wakiwa tumboni mwa mama zao.!?
Hawa wanawake waliorundikana kwenye makanisa ya akina Mwamposa wakitafuta wachumba ni wa kuwaogopa kama ukoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…