Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
Utafiti wangu binafsi katika swala hili
Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele🚶🏼♂️ kumfata mtu ibox📩 kwa mawasiliano📞 ya kimauhusiano ya kimapenzi??
Hasa hasa wanaume!!
Unafikri ni kwasababu gani?
Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele🚶🏼♂️ kumfata mtu ibox📩 kwa mawasiliano📞 ya kimauhusiano ya kimapenzi??
Hasa hasa wanaume!!
Unafikri ni kwasababu gani?