Utafiti wangu binafsi

Utafiti wangu binafsi

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Utafiti wangu binafsi katika swala hili

Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele🚶🏼‍♂️ kumfata mtu ibox📩 kwa mawasiliano📞 ya kimauhusiano ya kimapenzi??
Hasa hasa wanaume!!
Unafikri ni kwasababu gani?
 
Wanaume tuna access kubwa sana mitandao na ujanja ujanja hata kama hujaenda shule tofauti na wanawake

Ww unazani kumuimbisha mwanamke mpaka akupe mbususu sio mchezo bigwa
 
Wanaume tuna access kubwa sana mitandao na ujanja ujanja hata kama hujaenda shule tofauti na wanawake

Ww unazani kumuimbisha mwanamke mpaka akupe mbususu sio mchezo bigwa
🤣🤣🤣Noma kweli
 
Kwasababu imezoeleka kuwa mwanaume ndio humuanza mwanamke. Na tumejijengea akilini kwa mazoea kuwa mwanamke akikutongoza ni malaya (japo sio kweli).

Kwahiyo ni issue ya mazoea tu wala haina science yoyote.
 
Utafiti wangu binafsi katika swala hili

Nikwanini katika group au magroup na hata katika mitandao mingine ya kijamii wanaume huwa wanakuwa kipaumbele[emoji2215] kumfata mtu ibox[emoji395] kwa mawasiliano[emoji338] ya kimauhusiano ya kimapenzi??
Asa asa wanaume!!
Unafikri ni kwasababu gani?
Jamaa Emmanuel Kasomi ,"asa asa" ina maana gani!!?
 
Wanaume tuna access kubwa sana mitandao na ujanja ujanja hata kama hujaenda shule tofauti na wanawake

Ww unazani kumuimbisha mwanamke mpaka akupe mbususu sio mchezo bigwa
Kumbe siku hizi inaitwa "MBUSUSU"
 
Back
Top Bottom