uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Ninawasalimu wote katika Jumapili hii Njema, na tulivu. Naomba nisipoteze mda na niende kwenye mada moja kwa moja.
Baada ya kuwa napata matangazo ya App za mikopo, nikaamua nifanye ka utafiti kadogo kuona zinavyofanya kazi.
Kwa kipindi cha Miezi 2 nili download up 10, na nikakopa na kurudisha, na haya ndo niliyoyaona:
#1. Uongo na utapeli wa ajabu:
Hawa watu ni matapeli, na hii ni scam kabisa, Hakuna jambo lolote wanalosema ni la kweli.
#2. Unapoteza Privacy yako:
Unapo dowload app yao na kukubali masharti, wanakuwa na uwezo wa ku upload contact list yote.
#3. Mikopo yao haina Msaada:
Hii mikopo haina msaada, itakufanya desperate zaidi, na tegemezi kwao milele.
#4. Mda wa Mkopo:
Imagine 30% interest kwa mkopo wa siku 8, ukishaulipa kwa watu wenye shida watakopa tena, ni cycle ya kimasikini.
#5. Hawana kauli kabisa.
Kuanzia siku 2 kabla ya siku ya kurejesha nimetumia messages 58, Whatsapp, na namba tofauti.
Swali kwa Serikali/Wito:
Hivi hawa watu wanapopewa leseni, serikali haina namna ya kuingilia Policy za uendeshaji wao kuwalinda wananchi wao?
Haiwezekan mtu awe na ruhusu ya kufanya haya yanayofanyika jamani kwa wa Tanzania Maskini na kuwapeleka kwenye utumwa.
Nitarejea kuelezea kila buletin hapo juu, na kama ni sahihi nitataja app zote nilizozifanyia utaratibu na kuanika conduct zao hapa.
Baada ya kuwa napata matangazo ya App za mikopo, nikaamua nifanye ka utafiti kadogo kuona zinavyofanya kazi.
Kwa kipindi cha Miezi 2 nili download up 10, na nikakopa na kurudisha, na haya ndo niliyoyaona:
#1. Uongo na utapeli wa ajabu:
Hawa watu ni matapeli, na hii ni scam kabisa, Hakuna jambo lolote wanalosema ni la kweli.
#2. Unapoteza Privacy yako:
Unapo dowload app yao na kukubali masharti, wanakuwa na uwezo wa ku upload contact list yote.
#3. Mikopo yao haina Msaada:
Hii mikopo haina msaada, itakufanya desperate zaidi, na tegemezi kwao milele.
#4. Mda wa Mkopo:
Imagine 30% interest kwa mkopo wa siku 8, ukishaulipa kwa watu wenye shida watakopa tena, ni cycle ya kimasikini.
#5. Hawana kauli kabisa.
Kuanzia siku 2 kabla ya siku ya kurejesha nimetumia messages 58, Whatsapp, na namba tofauti.
Swali kwa Serikali/Wito:
Hivi hawa watu wanapopewa leseni, serikali haina namna ya kuingilia Policy za uendeshaji wao kuwalinda wananchi wao?
Haiwezekan mtu awe na ruhusu ya kufanya haya yanayofanyika jamani kwa wa Tanzania Maskini na kuwapeleka kwenye utumwa.
Nitarejea kuelezea kila buletin hapo juu, na kama ni sahihi nitataja app zote nilizozifanyia utaratibu na kuanika conduct zao hapa.