Utafiti wangu kuhusu hili Jukwaa

mtaiaoma namba mwanamke mwanamke unafanya me hakuelewi kila siku style mpya
 
KE bhana kila k2 KE,wakila KE,wakiche KE,wakinuna KE
Kila k2 KE,wakifanya utafiki KE.
Nyie KE jiangalieni mnaweza jiona mnafanya KE ke ke ke kumbe mwafanyiwa utafiki.
KEEEEEeeee
 
Hahahahahahahahah


😀😀😀😀
 
Sio kila mwanamke unaemuona humu ni mwanamke, wengine sie ni wanaume tumeona kabisa ila humu ni kina evelyn.

Ndio maana kuna siku mdada flani hiv alinitupia namba yake kwa PM, sasa ilipofika mida ya saa 4 usiku nikasema ngoja nipige nae story... Cha kushangaza kila nikipiga linapokea dume,nikamwambia nina shida na mwenye simu, jamaa linekazania "mbona hii simu ni yangu",.. Nikaona isiwe tabu nikakata na namba yake nikaifutilia mbali.... Mpaka leo huyo dada nikiona id yake tu nashutuka!
 

Endelea na huo utafiti wako ila jua Me hahaaaa
 
huo ni utafiti au maswali...?!!

btw jf ni moja,aliye jukwaa la siasa ndiye aliye MMU isipokuwa tumetofautiana interests, siku hizi mada za kitoto humu nyingi sana sasa ni ngumu kwa ME kuacha vitu vya maana aje ku-participate kwenye vitopic vya ajabu.
 

Ha ha ha et I una shida na mwenye Simu lol pole
 
bhebhe nang'o!angalau strec za UKAWA,simba na chelsea namalzia uku,idumu jf...naam milele na milele amen.
 
Unajidanganya mkuu. Ke zipo jikoni, huku ni Me tu
 

Kwel kabisa mkuu.
 

we mgumu sana kuelewa.
 

Namba tano upo sawa kabisa mkuu mtoa mada
 
Endelea kugundua........maana hakuna namna nyingine...........

kwanza ungemuuliza huo utafiti kaufanyia kwa muda gani na alikuwa anateremsha Kilimanjaro moja baridi mpaka ikampa hayo mawazo. Halafu Preta hivi Lara1 yuko wapi nimemmiss huyu dada na story zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…