Utafiti wangu kuhusu hili Jukwaa

humu ndani kuna wanapanic kinoma, hawawezi kureply mada husika, wamejaa dharau, kejeli na matusi sijui kwa nini
 
humu ndani kuna wanapanic kinoma, hawawezi kureply mada husika, wamejaa dharau, kejeli na matusi sijui kwa nini

Kuna wengine stress za majumbani kwao wanazimaliziaga jf mkuu
 
kila nkipita huku naskia harufu ya 'ke'
 
Nilijua nitakutana na majibu kumbe maswali....!
 
Ulpo tafiti ulimkuta na mkeo, aunt, mama, na dada zako? Je uliwauliz wakakwambiaje?
 
Labda wewe ndo unatuwinda jaman uwiiii

Hapana Agnes, ujue nimetembea sana humu JF kasoro jukwaa la wakubwa na dini, sasa numeshangaa kuona humu ndio mmerundikana sana kuliko kwingine
 
Haha kweli asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…