Utafiti wangu kuhusu parallel universe

Utafiti wangu kuhusu parallel universe

Naona umechanganya au mimi sijaelewa sababu Time travel na Multiverse ni vitu viwili tofauti.
Wewe unaongelea kipi hapo?
 
Naona umechanganya au mimi sijaelewa sababu Time travel na Multiverse ni vitu viwili tofauti.
Wewe unaongelea kipi hapo?
Dogo kafafanua viziri sana ila kuna concept kdgo kamiscombulate multi verse ni matokeo ya time travel using of portals na wormholes ni njia moja wapo inayoelezewa kwenye quantum physics kwhy dogo kapiga mulemule
 
Volti 10>19 billioni nahisi ukiitengeneza hiyo portal ukajaribu kuipitia itakudisintegratisha mazima. Uta vapour hapa duniani halafu tutaassume umeenda dunia nyingine kumbe ndio umekufa tayari.

Kuna shida kuweza kuvisogelea vitu kama hicho chako na black holes halafu ukabaki na integrity yako. Mfano black hole itakureeeeeeeeeeeeeeeeeefusha na utakufa instantly hata kama sisi tutakuona upo bado unairukia indifenetly
Upo wrong sana broh!!Unajua kwamba black hole hairefushi mtu???black hole within its horizon unaweza ona since the beginning of universe mpk mwisho coz ya time dilation inayosababishwa na gravity yake kalii na mtu huwez muona akiingia coz mpaka aingie completely itakuchukua zaidi ya miaka 70 mpka 100 kwa sababu pale alipo muda unaenda polpole zaidi ya ww kwahiyo upo totally wrong dogo ameenda vizuri sema hiyo njia ndo pekee ambayo inaweza ikawa proved na scientists kulko zote
 
Back
Top Bottom