johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Anne Waigiru ๐๐๐๐Waziri Mkuu alikua Hana influence. Ruto achukue Mke Mdogo wa Muigai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anne Waigiru ๐๐๐๐Waziri Mkuu alikua Hana influence. Ruto achukue Mke Mdogo wa Muigai
Hapo kikubwa inategemea ulaji, na wakikuyu wanajivuniaga sana idadi yao, ila kwa sasa wamejipanga kuiangusha dynasty ya Kenyata kule mlimani,,,wakiweza baadae wanaweza kuzigawa kura za watu wa mlimani maana sio wote wapo kwenye himaya ya KenyataYes yeye anaenda AU, Ruto kawa mjanja kuamua awe karibu
na Wajaluo na Waluhya na kuwafuta kwenye ramani Wakikuyu ili hata baadae
wasipate tena. Lengo ni kuwaondolea ile dominance waliyoliyo kuwa nayo
muda mrefu.
Ila Wajaluo nao wanaweza kumgeuka raisa hivi karibuni na wakajiunga
na Wakikuyu kupambana na Ruto.
Ndindi Nyoro ndio ana nafasi kubwa ya kuwa Kingpin wa Wakikuyu kwa sasaHapo kikubwa inategemea ulaji, na wakikuyu wanajivuniaga sana idadi yao, ila kwa sasa wamejipanga kuiangusha dynasty ya Kenyata kule mlimani,,,wakiweza baadae wanaweza kuzigawa kura za watu wa mlimani maana sio wote wapo kwenye himaya ya Kenyata
Ni kweliNdindi Nyoro ndio ana nafasi kubwa ya kuwa Kingpin wa Wakikuyu kwa sasa
hata kwenye hili zoezi la Riggy G kapinga yeye kuondolewa na kama Riggy G itaondolewa
madarakani hataweza kugombea tena na kwa kuwa atakuwa na hasira
na serikali lazima atamsupport Ndindi Nyoro 2027.
Hizo chache nani alikwambia ulete? hatutaki habari nusu nusu andika kama msomiNenda Kwenye tovuti yao utazikuta ๐
Umeambiwa wanaoongoza Mbona una ubongo mdogo wewe!Hizo chache nani alikwambia ulete? hatutaki habari nusu nusu andika kama msomi
Msigwa yupo CCMUmeambiwa wanaoongoza Mbona una ubongo mdogo wewe!
Mbona wewe hutaji Kura Moja ya Mrema iliyomnyima Ushindi mchungaji Msigwa kule Nyasa ๐๐
Siasa Siyo kabila ๐๐Unashobokea Demokrasia ya kweli Kenya wakati hapa unasapoti Totalitarianism we jamaa bhana.
Nimeipenda hiiUnajua Raila akiwa Waziri mkuu aliwahi mfuta kazi William Ruto uwaziri wa kilimo
kwa ubadhirifu wa mahindi ya msaada 2009.
Huyu ndio zero kabisa, the real VP ni Odinga maana ndio aliyeshikilia hii serikali, siku akijitoa inaporomoka hapo hapo.Nafasi kubwa ipo kwa Professor Kithure Abraham Kindiki hata
mwanzo chama cha UDA ndio kilikuwa kina mtaka yeye ila
Dr. William Ruto akaamua kumchagua Rigadhi Gachagua
Sawa ila kwa sasa anaenda AU, he will be leading from behind as usual.Huyu ndio zero kabisa, the real VP ni Odinga maana ndio aliyeshikilia hii serikali, siku akijitoa inaporomoka hapo hapo.