Utafiti

Oluoch

Senior Member
Joined
Aug 30, 2010
Posts
134
Reaction score
29
Habari zenu ndugu zangu!
Mimi ni mwanachuo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ninayesomea Shahada ya Kwanza ya Sheria. Ninafanya utafiti kuhusu CHANGAMOTO ZA KISHERIA ZINAZOWAKABILI MAAFISA UHAMIAJI KATIKA KUPAMBANA NA WAHAMIAJI HARAMU. Nimejaribu kusanya data toka Uhamiaji Makao Makuu na Pia Uhamiaji Wilaya ya Tarime.

Hivyo kama kunawezekana kukawepo na data zaidi kuhusu utafiti huu ni vyema tukashirikishana kupitia jukwaa hili.
Asanteni sana!
 
Hongera! Ili uweze kupata data, ni lazima waJF, uwaambie mambo makuu yafuatayo:

1. Malengo mahususi ya utafiti wako kwa maana, neno changamoto ni "vague term in research" au maswali ambayo utafiti wako unaenda kuyajibu.

2. Methodolojia yako, ya utafiti wako kwa maana ya Mpango kazi wa utafiti wako, zikiwemo na aina ya data, mbinu za kukusanya data hizo, namna utakavyo chambua( Mbinu ya uchambuzi wa data zako). Eneo lengwa na wahusika katika utafiti wako, na namna, utakavyopima " variables" zako.

3. Kwa kifupi basi ungetoa walau dodoso la utafiti wako.

ZIADA: Technically you are not doing a research per se!
 

asante kwa ushauri...ngoja nifuate maelekezo yako nimeona Ni ya msingi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…