Ndugu wana JamiiForums,
Naomba kuwaalika wale wenye hisa katika makampuni ambayo hisa zake zinauzwa katika soko la Dar es Salaam (DSE) kushiriki katika utafiti wangu wa Uzamivu (PhD) kuhusu maamuzi ya kuwekeza katika soko la hisa. Hawa ni watu wenye hisa kwenye kampuni kama vile TBL, TWIGA, TCC, CRDB, n.k.
Nimeandaa dodoso ambayo unaweza kuijaza online. Fuata link hii hapa chini:
https://www.surveymonkey.com/s/58DLYW8
Ukimaliza kujaza, bofya kitufe cha "Done", nayo itanifikia mara moja.
Natanguliza shukrani za dhati, kwa wale watakaopenda kuchangia katika utafiti huu.
Naomba kuwaalika wale wenye hisa katika makampuni ambayo hisa zake zinauzwa katika soko la Dar es Salaam (DSE) kushiriki katika utafiti wangu wa Uzamivu (PhD) kuhusu maamuzi ya kuwekeza katika soko la hisa. Hawa ni watu wenye hisa kwenye kampuni kama vile TBL, TWIGA, TCC, CRDB, n.k.
Nimeandaa dodoso ambayo unaweza kuijaza online. Fuata link hii hapa chini:
https://www.surveymonkey.com/s/58DLYW8
Ukimaliza kujaza, bofya kitufe cha "Done", nayo itanifikia mara moja.
Natanguliza shukrani za dhati, kwa wale watakaopenda kuchangia katika utafiti huu.