LGE2024 Utafutaji majina wawa changamoto Arusha

LGE2024 Utafutaji majina wawa changamoto Arusha

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Makini Mkoani Arusha Simon Ngilisho amesema kuwa zoezi Upigaji kura limeanza vizuri lakini bado kuna changamoto kubwa ya utafutaji majina

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilisha zoezi la upigaji kura Mwenyekiti huyo amesema kuwa majina ya wapiga kura haya kuratibiwa vizuri hali inayofanya watu kutumia mda mwingi kutafuta majina yao.
 
Back
Top Bottom