Utafutaji ni majaribu kwa wanawake

Utafutaji ni majaribu kwa wanawake

Kiplayer

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
1,180
Reaction score
1,964
Kwa sasa wanawake wameamka vilivyo katika ujasiriamali. Sokoni, stendi, barabarani wamechachamaa. Wake zetu wanasema maisha kusaidiana.

Kwa uwezo mdogo wa kuhimili vishawishi walionao ni rahisi mno kuvuliwa na wavuvi. Kwa mfano mama wa watu asubuhi asubuhi anatembeza vitafunwa majumbani mwa watu, asipokuwa imara atakuwa mtu wa kivutiwa ndani kesi inaisha.
 
Kwa sasa wanawake wameamka vilivyo katika ujasiriamali. Sokoni, stendi, barabarani wamechachamaa. Wake zetu wanasema maisha kusaidiana. Kwa uwezo mdogo wa kuhimili vishawishi walionao ni rahisi mno kuvuliwa na wavuvi. Kwa mfano mama wa watu asubuhi asubuhi anatembeza vitafunwa majumbani mwa watu, asipokuwa imara atakuwa mtu wa kivutiwa ndani kesi inaisha.
Kwamba atageuzwa kitafunio?!
 
Kwa hiyo wasitafute kisa wataliwa?

Huko maofisini nako je?

Wewe kama una hela basi pambana mkeo awe mama wa nyumbani. Ila na penyewe usipojipanga na kujali hisia zake utat*mbewa tu.

➡️➡️➡️ Kukaa unawaza juu ya kuchapiwa ni dalili ya kutokukomaa kihisia, kukosa kifua, inferiority complex na wivu uliopindukia kimo.

Mjue mkeo. Jali hisia zake. Mpende. Ishi naye kwa akili na mengine mwachie Mungu. Na kama ni wa kuchapwa atachapwa tu hata ufanyeje!
Umenena vyema
 
Ikiwa baba yako mzazi alichapiwa mke wake na hata baba mkwe wako alichapiwa vizuri
je wewe ni nani hata uruke hivyo viunzi?
 
Kwa sasa wanawake wameamka vilivyo katika ujasiriamali. Sokoni, stendi, barabarani wamechachamaa. Wake zetu wanasema maisha kusaidiana.

Kwa uwezo mdogo wa kuhimili vishawishi walionao ni rahisi mno kuvuliwa na wavuvi. Kwa mfano mama wa watu asubuhi asubuhi anatembeza vitafunwa majumbani mwa watu, asipokuwa imara atakuwa mtu wa kivutiwa ndani kesi inaisha.
ndio manake siku izi ndoa hazidumu
 
Hata hivyo dalili zinaonesha miaka ijayo hakutakuwa na kuoa Wala kuolewa
huo ndio ukweli, shetani kwa sasa kwa usaidizi wa ILLUMINATA{taasisi ya kishetani} chini ya msemo wao na mkakati wao wa NEW-WORLD-ORDER},,wana mkakati wa kuhakikisha wanamkasirisha MUNGU kwelikweli mpaka waone atafanya nini,,,yaani wanataka DUNIA yote inuke ZINAA, na harufu ya MAVI kwa ajili ya wanaume KUFIRANA,,,na wanawake KUSAGANA!!!wamefika mbali zaidi sasa kwa wale watakao kataa upuuzi wa KUFIRANA,,,,wameshatengenezewa MIDOLI,,yaani wanawake watakaokataa KUSAGANA wametengenezewa MIDOLI YA kiume,na wanaume tunaokataa upuuzi wa ULAWITI tumeshatengenezewa MIDOLI ya kike,,,,,,na pia umeona humu kunaa wa2 wanasema MUNGU hayupo,yote hayo ndo hayohayo,,,,na umeona MUNGU ameshaanza kukasirika sasa,,,ona JOTO lilivopanda huko kwao{kwa wazungu}.....umeona juzi kati MUNGU alivolipua kisiwa cha HAWAII kilichopo AMERIKA!!! unaambiwa ulitokea MOTO wa ajabu na hakuna kilichobaki,,,,mpaka rais wao JOE BIDEN kwa mara ya kwanza amewaambia wamarekani waombe DUA kwa MUNGU...."ndugu yangu nakusihi kwa IMANI yako MSHIKILE SANA MUNGU {THE MOST HIGH}..na jikaze na dharau anasa za dunia kwa tupo tamati,,,ona magonjwa ya ajabu yanavoua !!!'''''''''"...................FEAR GOD you people
 
huo ndio ukweli, shetani kwa sasa kwa usaidizi wa ILLUMINATA{taasisi ya kishetani} chini ya msemo wao na mkakati wao wa NEW-WORLD-ORDER},,wana mkakati wa kuhakikisha wanamkasirisha MUNGU kwelikweli mpaka waone atafanya nini,,,yaani wanataka DUNIA yote inuke ZINAA, na harufu ya MAVI kwa ajili ya wanaume KUFIRANA,,,na wanawake KUSAGANA!!!wamefika mbali zaidi sasa kwa wale watakao kataa upuuzi wa KUFIRANA,,,,wameshatengenezewa MIDOLI,,yaani wanawake watakaokataa KUSAGANA wametengenezewa MIDOLI YA kiume,na wanaume tunaokataa upuuzi wa ULAWITI tumeshatengenezewa MIDOLI ya kike,,,,,,na pia umeona humu kunaa wa2 wanasema MUNGU hayupo,yote hayo ndo hayohayo,,,,na umeona MUNGU ameshaanza kukasirika sasa,,,ona JOTO lilivopanda huko kwao{kwa wazungu}.....umeona juzi kati MUNGU alivolipua kisiwa cha HAWAII kilichopo AMERIKA!!! unaambiwa ulitokea MOTO wa ajabu na hakuna kilichobaki,,,,mpaka rais wao JOE BIDEN kwa mara ya kwanza amewaambia wamarekani waombe DUA kwa MUNGU...."ndugu yangu nakusihi kwa IMANI yako MSHIKILE SANA MUNGU {THE MOST HIGH}..na jikaze na dharau anasa za dunia kwa tupo tamati,,,ona magonjwa ya ajabu yanavoua !!!'''''''''"...................FEAR GOD you people
Ni kweli maasi yamekuwa mengi na uchafu wa kila aina.
Mungu kulipua pale Hawaii ni habari inashangaza, wamemkosea nn Mungu mwenye upendo, hata akashindwa kuwahurumia watu wale pamoja na watoto wao?
 
Kwa sasa wanawake wameamka vilivyo katika ujasiriamali. Sokoni, stendi, barabarani wamechachamaa. Wake zetu wanasema maisha kusaidiana.

Kwa uwezo mdogo wa kuhimili vishawishi walionao ni rahisi mno kuvuliwa na wavuvi. Kwa mfano mama wa watu asubuhi asubuhi anatembeza vitafunwa majumbani mwa watu, asipokuwa imara atakuwa mtu wa kivutiwa ndani kesi inaisha.
Vuruga mwanamke na umefanikiwa kuvuruga jamii,Sasa hivi hovyohovyo tu
 
Ni kweli maasi yamekuwa mengi na uchafu wa kila aina.
Mungu kulipua pale Hawaii ni habari inashangaza, wamemkosea nn Mungu mwenye upendo, hata akashindwa kuwahurumia watu wale pamoja na watoto wao?
sio ameshindwa kuwasamehe,,,kile kisiwa kina sifa ya starehe ya ajabu kama sodoma na gomora!!!so ata watoto wao wengine waliwaadapt kutoka mataifa mengine,so mtoto alikuwa akiishi na wanaume wawili,mmoja baba na mwingine mama{ushoga },,,MUNGU ameona ata angewasamehe watoto,wameshafundishwa huo UPUMBAvu!!
 
Back
Top Bottom