Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 299
Habari wataalamu.
Nina miaka kama 10 nimekuwa nazunguka migodini kuchimba madini ya dhahabu bila mafanikio.
Nimepoteza kiasi cha sh.M.6.5 katika Maeneo ya Musoma Bhuhemba, Nyarugusu Stamico, Nyaruyeye Geita, Bingwa Lwamgasa na Kaseme.
Kuna kipindi nikiwa Mgodi wa Buziba Lwamgasa nilichimbisha duara likafika na nikabahatisha kuwa na mauzo ya Gramu 8 kwa mfuko.
Nilibahatisha kupata mifuko 20 cha ajabu baada ya siku mbili mwamba ukageuka na zikawa shaba badala ya dhahabu na kusababisha mfuko kuwa na point 3 tu lakini jirani yangu mfuko ukapanda na kuwa gram 28 kwa mfuko.
Mpaka muda huu nimechoka kabisa.Najiuliza nakosea wap katika utafutaji wa madini haya?
Kwa wataalamu naomba ushauri sijakata tamaa bado.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina miaka kama 10 nimekuwa nazunguka migodini kuchimba madini ya dhahabu bila mafanikio.
Nimepoteza kiasi cha sh.M.6.5 katika Maeneo ya Musoma Bhuhemba, Nyarugusu Stamico, Nyaruyeye Geita, Bingwa Lwamgasa na Kaseme.
Kuna kipindi nikiwa Mgodi wa Buziba Lwamgasa nilichimbisha duara likafika na nikabahatisha kuwa na mauzo ya Gramu 8 kwa mfuko.
Nilibahatisha kupata mifuko 20 cha ajabu baada ya siku mbili mwamba ukageuka na zikawa shaba badala ya dhahabu na kusababisha mfuko kuwa na point 3 tu lakini jirani yangu mfuko ukapanda na kuwa gram 28 kwa mfuko.
Mpaka muda huu nimechoka kabisa.Najiuliza nakosea wap katika utafutaji wa madini haya?
Kwa wataalamu naomba ushauri sijakata tamaa bado.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app