Utagunduaje kama Kilio cha 'Utamu' cha Mwanamke ukiwa 'Unambaioloji' ni cha Uhalisia au cha Maigizo tu?

Utagunduaje kama Kilio cha 'Utamu' cha Mwanamke ukiwa 'Unambaioloji' ni cha Uhalisia au cha Maigizo tu?

Cha maigizo huwa kinakuwa na swagg na kinazingatia mrindimo, ila kile chenyewe huwa hakichagui wala kubagua kinaweza hata kutoka kama jenereta bovu..!
Umemaliza dada. Analysis toka kwa muhusika.

Ukisia ooo yeah nyingi na vizungu vya uongo na kweli juwa fix hiyo. Ila ukisikia mtu anaunguruma kama simba mara anaongea kama anakemea mapepo basi jipe heko kuwa unafanya kazi njema. Utamu wa kweli hauna mbwembwe wala nakshi nakshi. Unakuja kama ulivyo.
 
Popoma umemaliza ban? Ulivyo na akili za ki-popoma humalizi masaa 48 bila kutwangwa ban nyingine. Tuliza kichwa hicho na acha hasira za kiuwendawazimu.
Umeshajiuliza kwanini pamoja na kupata hizo BAN mara kwa mara lakini bado tu nazidi kuwa Maarufu kuliko hata ambao hawapigwi au hawajawahi Kupigwa na 24/7 huwa wapo hapa JamiiForums?

Kumpiga Teke Chura ni Kumuongezea tu Mwendo wake. Shani ( Tunu ) za Mwenyezi Mungu Kwangu GENTAMYCINE ni Chukizo kwa the Cursed Haters Wangu Barani Afrika na Uswahilini.
 
Umemaliza dada. Analysis toka kwa muhusika.

Ukisia ooo yeah nyingi na vizungu vya uongo na kweli juwa fix hiyo. Ila ukisikia mtu anaunguruma kama simba mara anaongea kama anakemea mapepo basi jipe heko kuwa unafanya kazi njema.
hahah kumbe, eti oh yeah, baaaaby please, stooop it... kumbe waongo ***** hawa
 
hahah kumbe, eti oh yeah, baaaaby please, stooop it... kumbe waongo ***** hawa
Mijizi hiyo inaigiza tu. Wewe unapelekewa moto hasa utatumia lugha ambayo hata huijui.
Lugha ya furaha na huzuni daima huwa ni ile uliyozaliwa nayo. Mengine mbwembwe tu.
Midume tunakolezwa tutoe hela zaidi baada ya game. Hapo mzee mzima na tako zako mbili chali unaenda kujisifia nimgonga mtoto balaa mpaka kaongea kizungu, kumbe alikuwa anakung'ong'a unavyokunja sura kumwaga kojo la dakika 2🤣
 
ila wee mtundu thana.
Kwahy huruma---+ kukamaa--- Miudenda na kugeuza geuza kichwa huku meno hayagusani🤣🤣
Tunatisha kiujumla,afu nikifika kilele nimemaliza mwili umepoa naanza Hadi kuona haya kumtazama mchumba maana najua mwonekano wangu wote uliokosa maringo kauona.🤦
 
Back
Top Bottom