DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
NIA YA KUISHABIKIA NINAYO.
SABABU YA KUISHABIKIA NINAYO.
NA UWEZO WA KUISHABIKIA NINAO.
Sasa tufikie wakati tubadirike wakuu.
Maana sipungukiwi na kitu kuishabikia Yanga kimataifa wakati anaiwakirisha nchi na ukanda mzima wa E.AFRICA.
Ili kuanza kuwashinda waarabu sasa ni kua united kimataifa!!!
Naomba kuwasilisha!!!
SABABU YA KUISHABIKIA NINAYO.
NA UWEZO WA KUISHABIKIA NINAO.
Sasa tufikie wakati tubadirike wakuu.
Maana sipungukiwi na kitu kuishabikia Yanga kimataifa wakati anaiwakirisha nchi na ukanda mzima wa E.AFRICA.
Ili kuanza kuwashinda waarabu sasa ni kua united kimataifa!!!
Naomba kuwasilisha!!!