daa nimecheka sana mkuu na hii fursa mpya,,,ama kweli njaa huifanya mbongo iwe activeHabarin wadau
kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana.
Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza.
Nchini china na japan wamekuwa wanunuzi wakubwa wa jongoo kwa ajili ya chakula.
Jongoo mmoja sasa katik soko la dunia anifika dollar 10.
Ni muda tu wakuwakusanya na kupata tani kumi tu za jongoo ili kukidhi soko.
Tuchangamkie fursa
Shukran sana ss hivi nimepata tani moja ya jongoo ntka wafike kuanzia tani kumi tu nianze kusuplyItakua umechelewa kuijua hii fursa, mbona ipo kitambo sana na sio lazima kwenda China au Japan unaweza kupeleka kwenye migahawa yao nchini mwako.
Tani moja ya jongoo hahaha na bado unataka tani 10 hehehe hii kizamani sana mbona?Shukran sana ss hivi nimepata tani moja ya jongoo ntka wafike kuanzia tani kumi tu nianze kusuply
Kizamani nn mkuu km unfikiria ishu ya utapeli wala haipo soma uzi wangu na nyingine zangu humu hakuna hta moja ya utapeli mm natafuta hela kwa upande mwingine wa vitu ambavyo watu hawavifikirii nimevileta humu ili tushare,Tani moja ya jongoo hahaha na bado unataka tani 10 hehehe hii kizamani sana mbona?
siku hizi wenzio wana mbinu mpyaaaa.
Anyway, good luck.
Habarin wadau
kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana.
Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza.
Nchini china na japan wamekuwa wanunuzi wakubwa wa jongoo kwa ajili ya chakula.
Jongoo mmoja sasa katik soko la dunia anifika dollar 10.
Ni muda tu wakuwakusanya na kupata tani kumi tu za jongoo ili kukidhi soko.
Tuchangamkie fursa
Mkuu njoo pm tuyajenge nina km kilo 800 hivi za jongooHabarin wadau
kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana.
Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza.
Nchini china na japan wamekuwa wanunuzi wakubwa wa jongoo kwa ajili ya chakula.
Jongoo mmoja sasa katik soko la dunia anifika dollar 10.
Ni muda tu wakuwakusanya na kupata tani kumi tu za jongoo ili kukidhi soko.
Tuchangamkie fursa
Ndio hao hao mkuu tani zako tuunaongelea majongoo hawa?
View attachment 1086760
njoo huku CHATTOS wamejaa mpaka keroNdio hao hao mkuu tani zako tu
Mm nauliza ni hawa jongoo wetu wa porini au kunaaina nyingine?tafadhali nijibu maana hapa nilipo wako teleMkuu njoo pm tuyajenge nina km kilo 800 hivi za jongoo
Hao hao wa porini wanang'aa km wamepakwa mafuta weusi km mkaaMm nauliza ni hawa jongoo wetu wa porini au kunaaina nyingine?tafadhali nijibu maana hapa nilipo wako tele
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app