abaa4all
JF-Expert Member
- Mar 5, 2013
- 313
- 291
Habarin wadau
kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana.
Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza.
Nchini china na japan wamekuwa wanunuzi wakubwa wa jongoo kwa ajili ya chakula.
Jongoo mmoja sasa katik soko la dunia anifika dollar 10.
Ni muda tu wakuwakusanya na kupata tani kumi tu za jongoo ili kukidhi soko.
Tuchangamkie fursa
kwa mwanakilimo yoyote ili afanikiwe lazima ajiongeze na kwa sasa ajira ni ngumu sana.
Jongoo wamekuwa kimbilio kubwa la utajiri kwa sasa huna haja ya kutumia pesa ndefu kuwekeza.
Nchini china na japan wamekuwa wanunuzi wakubwa wa jongoo kwa ajili ya chakula.
Jongoo mmoja sasa katik soko la dunia anifika dollar 10.
Ni muda tu wakuwakusanya na kupata tani kumi tu za jongoo ili kukidhi soko.
Tuchangamkie fursa