VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
Baada ya kuangalia ni nini matajiri wote wanacho (what have they got in common)??..... Na kupitia vitabu tofauti na my own personal experience ya kuangalia watu; Nimegundua kuwa matajiri wote wana tabia zinazofanana
When it comes to money kuna Kanuni (formula wanazifata) na formula hii in summary ni:- Spend less than your earn; Save, and Reinvest (zalisha pesa zako)
Lakini am sorry kusema kwamba wengi wetu tunaspend Twice what we earn; na kwa kutumia msemo wa Robert Kiyosaki (Tuna-invest kwenye liabilities na tunaziita Assets). Mfano kwanini ununue gari linalokula sana petrol wakati kipato chako ni kidogo? Je gari (Unless ni gari la kutembelea na si la biashara ni Investment ??)
Conclusion ni Kwamba Labda kama wewe ni Fisadi lakini usipofata kanuni hizo hapo Juu Kamwe hautakuwa Tajiri.
Some Extracts kutoka kitabu Cha Richest Man in Babylon
When it comes to money kuna Kanuni (formula wanazifata) na formula hii in summary ni:- Spend less than your earn; Save, and Reinvest (zalisha pesa zako)
Lakini am sorry kusema kwamba wengi wetu tunaspend Twice what we earn; na kwa kutumia msemo wa Robert Kiyosaki (Tuna-invest kwenye liabilities na tunaziita Assets). Mfano kwanini ununue gari linalokula sana petrol wakati kipato chako ni kidogo? Je gari (Unless ni gari la kutembelea na si la biashara ni Investment ??)
Conclusion ni Kwamba Labda kama wewe ni Fisadi lakini usipofata kanuni hizo hapo Juu Kamwe hautakuwa Tajiri.
Some Extracts kutoka kitabu Cha Richest Man in Babylon
The First Cure: Start thy purse to fattening
The Second Cure: Control thy expenditures
The Third Cure: Make thy Gold Multiply
The Fourth Cure: Guard thy treasure from loss
The Fifth Cure: Make of thy dwelling a Profitable Investment
The Sixth Cure: Insure a Future Income
The Seventh Cure: Increase thy Ability to Earn
The Five Laws of Gold
1. Gold cometh gladly and in increasing quantity to any man who will put by not less than one-tenth of his earnings to create an estate for his future and that of his family.
2. Gold laboreth diligently and contentedly for the wise owner who finds for it profitable employment, multiplying even as the flocks of the field.
3. Gold clingeth to the protection of the cautious owner who invests it under the advice of men wise in its handling.
4. Gold slippeth away from the man who invests it in businesses or purposes with which he is not familiar or which are not approved by those skilled in its keep.
5. Gold flees the man who would force it to impossible earning or who followeth the alluring advice of tricksters and schemers or who trusts it to his own inexperience and romantic desires in investment.