Utajiri wa Apostle DALE

Utajiri wa Apostle DALE

pesakilakitu

JF-Expert Member
Joined
Aug 17, 2024
Posts
1,618
Reaction score
2,861
Kuna nini kwenye haya makanisa au Kuna Siri Gani imejificha? Nimeamua nikae siriaz Sasa nifikirie nikachukue nguvu za upako na Mimi nifungue ministry yangu.

Huyu naye anaitwa Apostle Ama pasta DALE.....angalia baadhi ya magari ya kifahari aliyonayo..ni hizi hizi sadaka zetu makapuku?

Jamaa unaaambiwa ana ndinga Kali zote za bei mbaya na mpya..hakuna gari chini ya mwaka 2023..kuna g wagon Moja nimeenda kucheki bei gari inauzwa milioni 900..aisee ..hapana...siwezi kufa masikini kwenye hii nchi ya maziwa na asali. NEVER

Wanasema kosa sio kuzaliwa masikini, kosa kufa masikini.
Screenshot_20250210-133044.jpg
 
Kuna nini kwenye haya makanisa au Kuna Siri Gani imejificha? Nimeamua nikae siriaz Sasa nifikirie nikachukue nguvu za upako na Mimi nifungue ministry yangu.

Huyu naye anaitwa Apostle Ama pasta DALE.....angalia baadhi ya magari ya kifahari aliyonayo..ni hizi hizi sadaka zetu makapuku?

Jamaa unaaambiwa ana ndinga Kali zote za bei mbaya na mpya..hakuna gari chini ya mwaka 2023..kuna g wagon Moja nimeenda kucheki bei gari inauzwa milioni 900..aisee ..hapana...siwezi kufa masikini kwenye hii nchi ya maziwa na asali. NEVER

Wanasema kosa sio kuzaliwa masikini, kosa kufa masikini.View attachment 3231892
bila kuacha uvivu na kufanya kazi kwa bidii na bila kuchoka wala kukataa tamaa, vitu vizuri utaviona kwa wengine tu huku ugumu wa mashia uliondamana na kufuatilia utajiri na maisha ya watu vikikuamdama maisha yako yote.

work hard gentleman hutojuta wala kupata muda wa kufuatilia wengine🐒
 
bila kuacha uvivu na kufanya kazi kwa bidii na bila kuchoka wala kukataa tamaa, vitu vizuri utaviona kwa wengine tu huku ugumu wa mashia uliondamana na kufuatilia utajiri na maisha ya watu vikikuamdama maisha yako yote.

work hard gentleman hutojuta wala kupata muda wa kufuatilia wengine[emoji205]
Sawa kapuku mwenzangu wa chama tawala.
 
Ni wa wapi huyo, na ameanza mwaka gani hio kazi?
Wa hapa kwetu bongo mkuu. Na hajaanza mda mrefu. Wewe ukiwa unapita mtaani ukakutana na mojawapo ya ndinga zake kama G WAGON ina plate namba zimeandikwa DALE ...ujue ndio mwamba mwenyewe. Hawekagi plate namba zetu za kimaskin sjui T 100 ABC ili wakuda na wachawi tukamuangalie kwenye tovut ya tra...[emoji3]
 
Wa hapa kwetu bongo mkuu. Na hajaanza mda mrefu. Wewe ukiwa unapita mtaani ukakutana na mojawapo ya ndinga zake kama G WAGON ina plate namba zimeandikwa DALE ...ujue ndio mwamba mwenyewe. Hawekagi plate namba zetu za kimaskin sjui T 100 ABC ili wakuda na wachawi tukamuangalie kwenye tovut ya tra...[emoji3]
Aisee,dunia ina mambo mengi
 
Th
Kuna nini kwenye haya makanisa au Kuna Siri Gani imejificha? Nimeamua nikae siriaz Sasa nifikirie nikachukue nguvu za upako na Mimi nifungue ministry yangu.

Huyu naye anaitwa Apostle Ama pasta DALE.....angalia baadhi ya magari ya kifahari aliyonayo..ni hizi hizi sadaka zetu makapuku?

Jamaa unaaambiwa ana ndinga Kali zote za bei mbaya na mpya..hakuna gari chini ya mwaka 2023..kuna g wagon Moja nimeenda kucheki bei gari inauzwa milioni 900..aisee ..hapana...siwezi kufa masikini kwenye hii nchi ya maziwa na asali. NEVER

Wanasema kosa sio kuzaliwa masikini, kosa kufa masikini.View attachment 3231892
The End, justifies the means
 
Back
Top Bottom