mandingo6262
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 424
- 81
Madhara ya 50mb za promotion ndio haya, kila zuzu anadhani JF ndio sehemu ys kuja kujambajamba ushuzi wake.
I don't compete with non educated people,go and upgrade your education level,elimu yenyew diploma sijui cheti,halafu u pretend to know more while u are just bogus with empty mind..
Kwani hizo pesa walizaliwa nazo?? Au mbowe hiyo nyumba ya dubai alizaliwa akaikuta??,kama jibu ni hapana basi kila kitu kinawezekana chini ya jua,kama tu ukiamua,halafu kijana acha kuishi kwa kujilinganisha,itaku cost sana maisha yako,usiangalia fulani kafanya nini,jiangalie wewe umefanya nini