Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
- Thread starter
-
- #21
Wakati mwingine nitataja barabara,Huu uzi mbona kama unaelea?... Hujatwambia anamiliki vitu gani, na vina thamani gani! Mbona kama tunalishwa kamba kuliko uhalisia unaofahamika kumhusu huyu kijana?
Hii inawasaidia nini wanangu?Huu Ndio Utajiri Unaotambuliwa wa Msanii Diamond Platnumz Jumanne, Oktoba 26, 2021 by Frumence M Kyauke.
Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni miongoni mwa wasanii Afrika wenye vipaji vikubwa na matajiri. Umaarufu wake ni kuanzia mwak wa 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie. Bingwa huyo wa muziki wa Bongo Flava nchini Tanzania tokea hapo amefaniiwa kuachia vibao vikali na vinavyovuma mfano Tetema, Inama, Marry You, Jeje, na cha punde zaidi Waah.
Anamiliki studio kubwa ya muziki na mali nyingi za thamani ya mamilioni ya pesa ambazo inakubidi uzifahamu. Kutokana na mafanikio yake, mali na madili mengine, unahisi Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani?
Bila shaka yoyote Diamond ni kipenzi cha wengi. Kando na kuwa na kipaji, ni mwanamuziki anayeiheshimu kazi yake na anayechapa na kuipenda kazi yake.
Kwa sababu hii pekee, ameweza kupata mafanikio ambayo hakutarajia miaka ya nyuma. Labda hili linaeza kutusaidia kueleza ni kwa nini yeye ndiye mwanamuziki tajiri zaidi Tanzania.
Utajiri wake Diamond Platnumz Je, Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani? Wengi wa mashabiki wake huuliza kila mara. Utajiri wa staa huyo wa Bongo Flava ni mkubwa kutegemea na kazi zake, anavyoishi, mali na uwekezaji. Mnamo mwaka wa 2014, utaji wa Diamond Platnumz ulikisiwa kuwa wa thamani ya dola za Marekani $4 milion
View attachment 1988269
Nitataja kulingana taarifa zote ambazo mhusika atakazokua ameweka hadharaniMoja ya dosari ni kutoweka attachments kama Bank deposit slips, assets value slips etc
Inatupa motisha hasa wasanii chipukiziHii inawasaidia nini wanangu?
Ni hamasa kwa wasanii wengine ili wajitume pasipo kukata tamaaSasa umeandika nini?
Unazani huyo msanii ameelewa umeandika nn?Ni hamasa kwa wasanii wengine ili wajitume pasipo kukata tamaa
Frumence M Kyauke Inajulikana kabisa diamond ni tajiri Hilo halina doubt lakini uandishi wako umeandika ujajitosheleza kama vile umeishia njiani kwa kifupi ujajipanga tulitegemea uweke vyanzo vya mapato alivyonavyo mf. Label yake ya Wasafi au mapato ya shows, Wasafi media au malipo ya kuwa ambassador wa makampuni n.kHuu Ndio Utajiri Unaotambuliwa wa Msanii Diamond Platnumz Jumanne, Oktoba 26, 2021 by Frumence M Kyauke.
Nasibu Abdul Juma Issack, almaarufu Diamond Platnumz, ni miongoni mwa wasanii Afrika wenye vipaji vikubwa na matajiri. Umaarufu wake ni kuanzia mwak wa 2010 baada ya kuachia albamu kwa jina Kamwambie. Bingwa huyo wa muziki wa Bongo Flava nchini Tanzania tokea hapo amefaniiwa kuachia vibao vikali na vinavyovuma mfano Tetema, Inama, Marry You, Jeje, na cha punde zaidi Waah.
Anamiliki studio kubwa ya muziki na mali nyingi za thamani ya mamilioni ya pesa ambazo inakubidi uzifahamu. Kutokana na mafanikio yake, mali na madili mengine, unahisi Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani?
Bila shaka yoyote Diamond ni kipenzi cha wengi. Kando na kuwa na kipaji, ni mwanamuziki anayeiheshimu kazi yake na anayechapa na kuipenda kazi yake.
Kwa sababu hii pekee, ameweza kupata mafanikio ambayo hakutarajia miaka ya nyuma. Labda hili linaeza kutusaidia kueleza ni kwa nini yeye ndiye mwanamuziki tajiri zaidi Tanzania.
Utajiri wake Diamond Platnumz Je, Diamond Platnumz ni tajiri kiasi gani? Wengi wa mashabiki wake huuliza kila mara. Utajiri wa staa huyo wa Bongo Flava ni mkubwa kutegemea na kazi zake, anavyoishi, mali na uwekezaji. Mnamo mwaka wa 2014, utaji wa Diamond Platnumz ulikisiwa kuwa wa thamani ya dola za Marekani $4 milion
View attachment 1988269
Pia usisahau kutaja vyanzo vya mapato kwa kuainisha namba au kiasi au hisa kwa asilimia fulaniSasa tumeweza kuelewa kuwa habari kamilifu ni vyema iwe na chanzo maalumu.
Kama ilivyoambatanishwa na tovuti ya www.dailymail.co.uk na vyanzo vinginevyo
Ni jambo gani ambalo lingemfanya aelewe? Unaweza kutushirikisha hapa?Unazani huyo msanii ameelewa umeandika nn?
Unaweza kutueleza kwa kina pengine itasaidia wasomajiHizi habati huwa mnazitoa kwa waandishi gani mpaka zinakuwa zmekaa kitoto hivi?
Asante sana kwa kufafanua kwa kina, nitachapisha kwa upana wakati mwinginePia usisahau kutaja vyanzo vya mapato kwa kuainisha namba au kiasi au hisa kwa asilimia fulani
Asante sana kwa kufafanua kwa upana,wakati mwingine taarifa zitajitoshelezaFrumence M Kyauke Inajulikana kabisa diamond ni tajiri Hilo halina doubt lakini uandishi wako umeandika ujajitosheleza kama vile umeishia njiani kwa kifupi ujajipanga tulitegemea uweke vyanzo vya mapato alivyonavyo mf. Label yake ya Wasafi au mapato ya shows, Wasafi media au malipo ya kuwa ambassador wa makampuni n.k
Unaweza kufafanua vizuri hii itasaidia wasomaji kuelewa kwa upanaUzi umekaa ki Facebook kinoma
Upuuzi mtupu. motisha hautokani na mtu mwingine bali mhusika mwenyewe kulingana na roadmap ya maisha alokuwa nayo ndanimwe tangu azaliwe.Inatupa motisha hasa wasanii chipukizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unavyo jibu kwa ujasiri kama taarifa zipo kweliAsante sana kwa kufafanua kwa upana,wakati mwingine taarifa zitajitosheleza
unavyo jibu kwa ujasiri kama taarifa zipo kweli
Inaonesha namna gani umeburudika, habari zipo zitachapishwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unavyo jibu kwa ujasiri kama taarifa zipo kweli