Utajiri wa Elon Musk umevuka GDP ya South Africa

Utajiri wa Elon Musk umevuka GDP ya South Africa

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2023
Posts
421
Reaction score
728
Sawa, Tupe data za kweli sasa.
Unajua inahitaji research ya kweli independently Hao wazungu ni kawaida Yao kupigia chapuo uwongo wao na kuwalisha jamii.
Hivyo Elon Anataka utajiri uongezeke na ili uongezeke zaidi ni kufanya nn
Anaongea na hao watu wa statistics wanaisha uwongo Kisha matajiri na makampuni yananunua hiza kampuni zake kwa bei kubwa na haraka.. Kisha baada ya mienzi kadhaa au mwaka 1 anakuwa na huo utajiri kweli maana anawauzia kwanza uwongo.
Mkisha mwamini mnawekeza pesa kwenye hiza za kampuni zake huenda Anataka kuuza hiza zake kwa bei mbaya Ila watu wengne mkipewa habari mnameza kama kinda la ndege ambalo Humeza chochote kinachoweka mdomoni mwake Bila kufungua macho.
 
Unajua inahitaji research ya kweli independently Hao wazungu ni kawaida Yao kupigia chapuo uwongo wao na kuwalisha jamii.
Hivyo Elon Anataka utajiri uongezeke na ili uongezeke zaidi ni kufanya nn
Anaongea na hao watu wa statistics wanaisha uwongo Kisha matajiri na makampuni yananunua hiza kampuni zake kwa bei kubwa na haraka.. Kisha baada ya mienzi kadhaa au mwaka 1 anakuwa na huo utajiri kweli maana anawauzia kwanza uwongo.
Mkisha mwamini mnawekeza pesa kwenye hiza za kampuni zake huenda Anataka kuuza hiza zake kwa bei mbaya Ila watu wengne mkipewa habari mnameza kama kinda la ndege ambalo Humeza chochote kinachoweka mdomoni mwake Bila kufungua macho.
Yn umerud kule kule ambapo Mm nataka unipe data.
Sasa kama anauza statistics za uongo c labla amefanya hvy miaka nyuma kadhaa na sasa hv ndo anapata huo utajiri kwa njia hy uliyoisema hapo.
 
Yn umerud kule kule ambapo Mm nataka unipe data.
Sasa kama anauza statistics za uongo c labla amefanya hvy miaka nyuma kadhaa na sasa hv ndo anapata huo utajiri kwa njia hy uliyoisema hapo.
Elewa cjasema hawezi kufikia hapo no nimesema for the way ame jump Haraka sio kweli ni uwongo ili Kampuni ziwekeze zaidi maana Ana kuwa trusted
Hata mm na ww Tukisikia Kila siku, benk B iko vizuri Ina mtaji mkubwa Ina Atm hadi vijijini Huko utaanza kutoa pesa zako benk A na kupeleka B au utaanza kuweka pesa benk B.
Kisha benk B baada ya kupata wateja wengi wanafungua Atm za vijijini
Kupitia uwongo walio tengeneza umewaletea faida.
So ndio hivyo kama huja Elewa soma marketing strategy utaelewa.
 
Elon ni tapel flan hivi wa kupika data na kufanya matangazo mengi.. Tesla aliikuta ipo, twitter ilikuwepo.. Roketi anapewa ujuzi na nasa.. Mwongo flan mwenye kiburi hiyo pesa ni estimation za uwongo tu. Bado yupo chini ya hiyo Namba.
Anataka kupeleka watu mars kaburu Mwongo kishenzi. 😀
Yani wewe uko hapo ukerewe umegundua kuwa ni muongo halafu walio nae huko Texas hawajui hilo?
 
Elewa cjasema hawezi kufikia hapo no nimesema for the way ame jump Haraka sio kweli ni uwongo ili Kampuni ziwekeze zaidi maana Ana kuwa trusted
Hata mm na ww Tukisikia Kila siku, benk B iko vizuri Ina mtaji mkubwa Ina Atm hadi vijijini Huko utaanza kutoa pesa zako benk A na kupeleka B au utaanza kuweka pesa benk B.
Kisha benk B baada ya kupata wateja wengi wanafungua Atm za vijijini
Kupitia uwongo walio tengeneza umewaletea faida.
So ndio hivyo kama huja Elewa soma marketing strategy utaelewa.
We shoga acha wivu
 
Unajua inahitaji research ya kweli independently Hao wazungu ni kawaida Yao kupigia chapuo uwongo wao na kuwalisha jamii.
Hivyo Elon Anataka utajiri uongezeke na ili uongezeke zaidi ni kufanya nn
Anaongea na hao watu wa statistics wanaisha uwongo Kisha matajiri na makampuni yananunua hiza kampuni zake kwa bei kubwa na haraka.. Kisha baada ya mienzi kadhaa au mwaka 1 anakuwa na huo utajiri kweli maana anawauzia kwanza uwongo.
Mkisha mwamini mnawekeza pesa kwenye hiza za kampuni zake huenda Anataka kuuza hiza zake kwa bei mbaya Ila watu wengne mkipewa habari mnameza kama kinda la ndege ambalo Humeza chochote kinachoweka mdomoni mwake Bila kufungua macho.
Acha wivu shoga wewe umasikini wako usifanye uchukie mtua ambae akujui yaani mijitu mieusi sijui ipoje
 
Elon ni tapel flan hivi wa kupika data na kufanya matangazo mengi.. Tesla aliikuta ipo, twitter ilikuwepo.. Roketi anapewa ujuzi na nasa.. Mwongo flan mwenye kiburi hiyo pesa ni estimation za uwongo tu. Bado yupo chini ya hiyo Namba.
Anataka kupeleka watu mars kaburu Mwongo kishenzi. 😀
Na wewe muige Bakhresa Kupika maandazi na UNGA wa ngano uwe tajiri
 
Pumzi yenyewe ikikaa kwa masikini inakuwa inakuvumilia tu
Haa Haa Masikini Hana Haki
Ndiyo Maana Hata Bongo Kulikuwa Na Class Za Kuishi
Maeneo Kama Masaki, Mikocheni,
 
Kweli ww ni ushuzi mtupu Nani aloge akisemacho mtu ndicho kilicho mjaa rohoni sio lazma Kila mtu ampigie makofi Huyo kaburu alizaliwa kipindi cha apartheid systems hivyo Ana element za kujiona bora na kujimwambafai hiyo ndio concept yangu Ana u Racist flan hivi
Kiaina huwa ni Racist kwa black Ila anaficha
Sasa matacle ya nyani ukawaza Yale yaliyo kujaa.
Nikisema nafuga nn haiwezi saidia kaolewe Huko nyie ndio vibaraka wa wazungu ndio maana wanawafanya mashoga kisa kuwaabudi na kuwa shangilia wamefanikiwa na kuwatetemekea....( Heri angekuwa dangote wa naigeria) Ila ww Endelea kuwa shangilia wazungu 2, Utachomekwa M bolo Nyani ww.
Jamani jamani - tuwe wapole, tupunguze ukali wa maneno.
Msigombane kwa ajili ya Elon Musk - ni kupoteza muda..be cool
 
Acha wivu shoga wewe umasikini wako usifanye uchukie mtua ambae akujui yaani mijitu mieusi sijui ipoje
Ww hapo ndio Choko Haswa una pelekewa ndio maana umeweka picha ya kidume anajianda kufanya yake
Mwanaume kamili hawezi kuweka picha ya dume maahali hata profile, au avatar.. Ukiona unapenda kuweka picha Mwanaume jua wanakuvutia.
Kwangu mm huweka picha ya mwanamke ndio kivutio changu ww angalia picha uliyo weka ukweli unajisema mwenyewe
 
Elon ni tapel flan hivi wa kupika data na kufanya matangazo mengi.. Tesla aliikuta ipo, twitter ilikuwepo.. Roketi anapewa ujuzi na nasa.. Mwongo flan mwenye kiburi hiyo pesa ni estimation za uwongo tu. Bado yupo chini ya hiyo Namba.
Anataka kupeleka watu mars kaburu Mwongo kishenzi. 😀
Wewe ambaye sio tapeli mbona networthy yako hatuijui???
Hata top 500 haupo.
Wacha sie tuendelee kumuamini tapeli ambaye katuletea "starlink"
 
Back
Top Bottom