Utajiri wa Elon Musk umevuka GDP ya South Africa

Shoga we fanya kazi sio unakalisha matako hapo Kwa shemeji Yako ukionea wivu matajiri sijui kwanini mashoga mnakuwaga na wivu sana
 
Kobaz wapo matajiri wa mafuta,sema hawapendi showoff
Hamna kobazi ataesimama yeye kama yeye bila kuhusisha pesa za kifamilia akamkuta huyo mwamba Elon mask hapa hatuongelei Mali za kifalme a.k.a Mali za nchi ambazo familia inajimilikisha maana kobazi utajiri ndio huo
 
dollar trillion za kimarekani=1,000,000,000,000/= $-1t. siyo masihara... sina hata hiyo ndoto.
 
Wewe ambaye sio tapeli mbona networthy yako hatuijui???
Hata top 500 haupo.
Wacha sie tuendelee kumuamini tapeli ambaye katuletea "starlink"
Sio mbaya chief manguko alikuwa na uzao pia hivyo Kuna vitukuu vyake kama ww, kulamba wazungu matacle na kuwa shangilia ni jadi yenu.
Sasa ww cha Ajabu alicho Fanya Elon n nn? Uliwahi kusiliza redio kipindi cha nyuma kulikuwa na sw, mawimbi ya redio kupitia satellite, unaskilza redio za ulaya moja kwa moja Sasa hivi wameweka fm.
So ujuzi ulikuwepo alicho Fanya ni modification ya satellite kuwa zinasafirisha data instead of sound wave
Sasa wajinga wanaanza kumpigia makofi na kumtukuza.
 
Toka hapo Kwa shemeji Yako fanya kazi acha chuki Kwa matajiri shoga we
 
Fanya kazi Toka hapo kwenye kochi la shemeji Yako Ili usiwe na chuki na Matajiri kisa we ni masikini
Ckai Kwa watu ww Choko alafu kumbe ni Kweli mumeo mtarajiwa ni Darwin nimeona umempost hapo.. Ukisha chokwa na huyu wa Sasa.
Nyie ndio wale wazungu wanawamezea viagra.
Kisa Tamaa
Elon anapika Data Sasa mnao abudi wazungu endeleeni kuvura
Kwa hasira.
 
Jifunze kuandika vizuri.
Type well.
Chief manguko alikuwa chief wa kwenu ama???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…