Huo utajiri wa uchawi wa funza una version 2
1. Funza wanatoka kwenye mwili wako kisha wanageuka hela
2. Funza wanatoka mwilini mwako kisha wanakusanywa wanachanganywa na madawa yanakuwa majimaji au ungaunga unaweka kwenye eneo la biashara, wengine wanapaka, wengine wanakunywa, biashara hiyo inapata wateja wengi sana.
NB: kuna version nyingine wanasema dawa inatiwa kwenye mqundu kupitia bomba kubwa size ya chupa yenye dawa inazamishwa mqunduni kwa ndani kama siku 7 mpaka 21 mwako kisha unaanza kutoa funza mqunduni mwako unawaharisha.
Hizo story nilizisikia zamani kwenye kipindi cha RFA chenye story za kutisha.