Utajiri wa Funza

Utajiri wa Funza

Vijana mtaolewa fanyeni kazi
Semeni masharti yote bado hamjasema

Sisi tunaotoa sadaka mpaka kwa yatima mwisho mtasema tunatoa kafara pia

Hakuna hela za bure dunia hii fanyeni kazi lazima muwe wabunifu mkishindwa basi muungane mfanye kitu cha maana
 
Hakuna tajiri halali....
Hat Kama so mshirikina, Basi Ni jambazi au halipi Kodi.
 
Huo utajiri wa uchawi wa funza una version 2
1. Funza wanatoka kwenye mwili wako kisha wanageuka hela

2. Funza wanatoka mwilini mwako kisha wanakusanywa wanachanganywa na madawa yanakuwa majimaji au ungaunga unaweka kwenye eneo la biashara, wengine wanapaka, wengine wanakunywa, biashara hiyo inapata wateja wengi sana.



NB: kuna version nyingine wanasema dawa inatiwa kwenye mqundu kupitia bomba kubwa size ya chupa yenye dawa inazamishwa mqunduni kwa ndani kama siku 7 mpaka 21 mwako kisha unaanza kutoa funza mqunduni mwako unawaharisha.


Hizo story nilizisikia zamani kwenye kipindi cha RFA chenye story za kutisha.
Hii version ya tatu inawafaa sana makuchu.
 
Back
Top Bottom