Utajiri wa Irene Uwoya

Status
Not open for further replies.
Hahhaha.. Umenifanya nicheke Kwa sauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndio mwisho wako wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu wengi wanajaribu kumchukia ila wanashindwa wanaishia kumuiga kimya kimya japo bado wanakosea.
Zari angekua kama akina wema , angekua kashafulia sasa hivi , Yule demu Ana akili sana , mjanja, yan hawa mademu wakishapewa pesa kidogo tu na kuambiwa I love you wanajisahau kabisaa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mwandiko mbovu lugha mbovu ukiandika kiswahili tutajua hujasoma au badilika wewe
' i Rate You Zero'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwoya, kaanza kudinywa na vibabu miaka mingi sana sana..! Nadhani ndio walimtia nuksi hata hapati madanga ya maana
 
Ni ukweli kama huku kuna mtu kaambiwa na myu nikujengee nyumba au nikupangie mahali na nikununulie gari nipangie upande mzima ninunulie gari
 
Huyu Mwesabieni siku tu. Mnakumbuka Mashauzi Ya Sepenga Kipindi akiwa na CK? Sasa hivi yuko wapi? Ngoma ivumayo sana haidumu.
Binafsi hua najiuliza swal hilohilo
Anapata wapi pesa ya bata lote lile!?
Nakakubali kalulu michael ana akil anadanga kwa faida
Sio hawa mazimbukuku kina wema kila siku wanafukuzwa house rent hawana kodi


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea point sana ila wasivyojielewa wakipewa uzi kusoma watasema hater yaani
Naomba waige mfano wa Jackline wa mengi kadanga ila kawekeza kwenye furniture
Yaani hawa watu bongo movie ni zero itabidi kuweka kampeni ya warudi shule tu
 
Binafsi hua najiuliza swal hilohilo
Anapata wapi pesa ya bata lote lile!?
Nakakubali kalulu michael ana akil anadanga kwa faida
Sio hawa mazimbukuku kina wema kila siku wanafukuzwa house rent hawana kodi


Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa nilizo nazo wema ana duka lake hapo kinondoni koma koma na Mara kadhaa ijioni utamkuta hapo.
 
She is damn beautiful. What she lacks in the brain, is exceedingly compensated in her looks.
Mungu hakupi vyote!
 
She is damn beautiful. What she lacks in the brain, is exceedingly compensated in her looks.
Mungu hakupi vyote!

Kabisa yan


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sijaona Mbongo Movie tajiri zaidi ya KUACT utajiri....

Bongo ukiwa na gari ndogo na pagale na kila siku ukibadilisha mboga, kunywa bia na kubadilisha "MATAMBAA" basi wewe ni "TAJIRI".
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…