Utajiri wa kidonda

Utajiri wa kidonda

Ela gani tena wakayi mwamba ndo katafuta kwa staili kama iyo......alaf wew inakuuma nini?
 
Nilishakuja na uzi apa unaohusu aina za utajiri ambazo ni common Tanzania ukiwemo utajiri ambao mtu anapewa kidonda ambayo kadiri kinavoongezeka ndo pesa inaongezeka
Ila amini kwamba shetani awezi kukuacha utumie pesa zake bila mateso[emoji23][emoji23]

Finally nimekutana na jamaa ambaye alichukua utajiri huo, pesa kweli anayo lakini hicho kidonda kinavonuka kudadeki asikwambie mtu.
Jamaa hapendezi yaani yupo yupo tu[emoji23] nguo izo izo siku tatu.
Ni hovyo tu, tutafute hela wajumbe katu usifikiri kuna pesa ya rahis rahisi
Ni dhahiri unaona jamaa hafurahii ile pesa.
Dduhh. Disgusting
 
Niweke sawa hapo kidogo... wengine wana vidonda ila vimefichwa.

Wanavaa vizuri tu na huwezi kugundua wala kujua kama wana vidonda vya kishetani na inasenekana hawasikiagi maumivu wala hakuna harufu... inakuwa siri ili watu wasigundue.
Kwenye maumivu na harufu umedanganya...kikiuma na kuvuta ujue pesa inakuja kwa speed...na harufu inakuwepo ila sio kali
 
Aisee ombea hiko kidonda kisiwe kwenye nya maana kila nya itakapokuwa inakubabana unakuwa na mawazo jinsi utakavyokuwa unalia utakapokuwa unakunya ukipiga hadi ukunga
Kumbe kinaeza kua hata kwenye nnya?🤣🤣🤣
 
Unakuta jitu halijasoma na halina ujuzi wowote lina utajiri wa kutisha, linaajiri wasomi na wenye ujuzi kwa kuwalipa mshahara linaotaka. Cha kutilia mashaka utajiri wake kwenye miradi yake kunakuwa na mambo ya ushirikina na masharti fulanifulani ya giza kumbe ni utajiri wa kishetani
Nzi mtegee mavi, ni njaa zao ndo huwasukuma kufanya kazi popote😀😀 mwisho wa siku unakua trapped kwenye mtego wa ibilisi
 
Yupo rafiki yangu mmoja alikuwa na kidonda (Sio kikubwa sana), hicho kidonda ni Cha miaka nenda rudi hakiponagi tu, tulikuwa hatujajua shida nini! Lakini baada Kuna uvumi ulienda jaama anapoga pesa na hicho kidonda chake

Mpaka leo yupo anapeta tu na kidonda chake.
Nadhani kuna sehemu ambapo shetani anatumia kumuadhibu🤣🤣 kupitia hiko kidonda
 
Ndio maana hayo mateso yanahamishiwa kwa mtu mwingine na tajiri anabaki na raha zake. Kuna jamaa alimpa mtoto mateso ya "funza" mwili mzima. Yaaani acha tu!! Yeye anapeta tu kwenye viti virefu baa.
Kamuweka mtoto wa ke front line?🥺🙀
 
Niweke sawa hapo kidogo... wengine wana vidonda ila vimefichwa.

Wanavaa vizuri tu na huwezi kugundua wala kujua kama wana vidonda vya kishetani na inasenekana hawasikiagi maumivu wala hakuna harufu... inakuwa siri ili watu wasigundue.
Sinajua siko exposed sana na hayo makitu, acha wajuzi wakwambie
 
Utajiri wa madonda hasa kwa wale wapikaji masupu wanaohusika na mifugo au biashara yake!, (sharti moja wapo yale maji ya kuoshea kidonda lazima yamwagiwe kwenye chakula au kudekia kwenye biashara yake) Upumbavu mtupu huu, pia walaji manjiani tunakula mengi sana mungu atunusuru.
As long as hatujui baridaa✊🏾
 
Kuna mganga ana uwezo wa kumpachika mtu mwingine (wa familia yako au mtu wa karibu sana) hicho kidonda na wewe unapeta tu kwenye viti virefu baa.
 
Back
Top Bottom