Utajiri wa kidonda

Ela gani tena wakayi mwamba ndo katafuta kwa staili kama iyo......alaf wew inakuuma nini?
 
Dduhh. Disgusting
 
Niweke sawa hapo kidogo... wengine wana vidonda ila vimefichwa.

Wanavaa vizuri tu na huwezi kugundua wala kujua kama wana vidonda vya kishetani na inasenekana hawasikiagi maumivu wala hakuna harufu... inakuwa siri ili watu wasigundue.
Kwenye maumivu na harufu umedanganya...kikiuma na kuvuta ujue pesa inakuja kwa speed...na harufu inakuwepo ila sio kali
 
Aisee ombea hiko kidonda kisiwe kwenye nya maana kila nya itakapokuwa inakubabana unakuwa na mawazo jinsi utakavyokuwa unalia utakapokuwa unakunya ukipiga hadi ukunga
Kumbe kinaeza kua hata kwenye nnya?🤣🤣🤣
 
Nzi mtegee mavi, ni njaa zao ndo huwasukuma kufanya kazi popote😀😀 mwisho wa siku unakua trapped kwenye mtego wa ibilisi
 
Nadhani kuna sehemu ambapo shetani anatumia kumuadhibu🤣🤣 kupitia hiko kidonda
 
Ndio maana hayo mateso yanahamishiwa kwa mtu mwingine na tajiri anabaki na raha zake. Kuna jamaa alimpa mtoto mateso ya "funza" mwili mzima. Yaaani acha tu!! Yeye anapeta tu kwenye viti virefu baa.
Kamuweka mtoto wa ke front line?🥺🙀
 
Niweke sawa hapo kidogo... wengine wana vidonda ila vimefichwa.

Wanavaa vizuri tu na huwezi kugundua wala kujua kama wana vidonda vya kishetani na inasenekana hawasikiagi maumivu wala hakuna harufu... inakuwa siri ili watu wasigundue.
Sinajua siko exposed sana na hayo makitu, acha wajuzi wakwambie
 
As long as hatujui baridaa✊🏾
 
Kuna mganga ana uwezo wa kumpachika mtu mwingine (wa familia yako au mtu wa karibu sana) hicho kidonda na wewe unapeta tu kwenye viti virefu baa.
 
DR SANTOS mbona hujaweka namba ya mtaalam,.
Vidonda tutavaa soksi vizionekane😬🤒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…