Utajiri wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’

Utajiri wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’

na sadaka za waumini zinachangia kwenye utajiri..kweli dini zimeingiliwa
 
Hongera masanja wabongo ndo kawsida yao usishangae ukiendelea sikuiz sio freemason tena uunaitwa muuza Sembe na ukifa masikini pia watakucheka kuwa msanii kafa masikini.. binadamu hawana pema.
 
ahahahahhhh, mfuate tu huko huko kanisani kwao, mwambie roho mtakatifu amekufunilia kwamba yeye ndie mumeo

Ningejua tu ataenda kumtaftia kipande kipi ili nitangulie huko
 
Hebu acha kutoa hizo sadaka tuone kama atafilisika

nani kakwambia mi nina ujinga huo wa kutoa sadaka kwa matapeli?kwani uongo hachangishi watu sadaka?kufilisika kwake kunanihusu nini mimi?unajua maana ya kufilisika?
 
Go masanja acha piga kazi kila la kheri,kazi zinaonekana acha wengine waendelee lalama
 
nani kakwambia mi nina ujinga huo wa kutoa sadaka kwa matapeli?kwani uongo hachangishi watu sadaka?kufilisika kwake kunanihusu nini mimi?unajua maana ya kufilisika?

Achangishe sadaka ye anakanusa lake? wakati huko anakoenda kutoa huduma kuna mchungaji husika wa hilo kanisa analo sali yeye.
 
Back
Top Bottom