DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

DOKEZO Utajiri wa Koplo Adronis Mushi wa Kituo cha Polisi Kabuku uchunguzwe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Marathon day

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
643
Reaction score
1,016
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
 
Tafuta hela dogo maisha ni mafupi. Cha msingi asiwe kazipata kwa kuua mtu.

Wewe unazungumzia huyo na kusahau mafisadi papa nani atawachunguza? Unajua mali wanazomiliki nje ya nchi? Ukipata fursa itumie becouse 1 day you will leave this world behind.
 
Ndg Wana jamvi,

Kumekuwa na malalamiko mengi kwa mabasi na magari mengi yanayo pita njia hii ya SEGERA Chalinze kutokana usumbufu wa Polisi huyu.

Anatuhumiwa kwa kulazimisha kupewa rushwa na kubambikia watu makosa hata kuwawekea madereva wa mafuso mirungi, na kudai rushwa kubwa.

Watu wamefatilia Mali anazomiliki haziendani na muda aliohudumu kazi I na cheo chake cha koplo. kwa haraka haraka anamiliki magari ya kifahari TOYOTA PRADO, SUBARU FORESTER Nyumba mbili za kifahari kwa cheo cha Koplo.

Tume ya maadili hebu wachunguze tuhuma hizi za madereva wanaopita njia hii ya SEGERA / CHALINZE .
1. Tume ya Maadili ni Kwa ajili ya Viongozi wa Umma tu (sheria imeainisha).
2. Fanya kazi Kwa bidii, acha shobo Kwa Mali za watu.
3. Mushi akakae kijijini Kabuku halafu aone fursa azembee?
 
Atakuwa kakuchukulia demu si bure si kwa chuki hizo. Yeye anapambania maisha ya familia yake na yeye siyo chanzo cha umaskini wako. Tafuta hela nchi hii ina fursa nyingi acha makasiriko hakuna aliyetoboa kwa chuki. Uvivu wako majungu yako roho mbaya yako chuki zako ndiyo umaskini wako. Ongea na watu vizuri huenda hali yako ngumu ya maisha utatuzi wake ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom