NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Nipo nae mboka huku tunakula michembe!Katua bongo jana
Haha hahahaha ametoroka gerezani nini??!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Maana Javier ni genius sana tutakuja kuona baadae akili zakeNimekutana na Javier mitaa ya Reo de Janeiro
Umeitwa? Au kimbelembeleMuwe makini mnaweza enda angukiwa na kitu kizito. Hii hadidhi ina uongo mwingi sana. Na huko mbeleni itamsumbua mtunzi. Nipo hapa
Nimekuandikia wewe? Au kinyumenyumeUmeitwa? Au kimbelembele
hahahah!Mwandishi nimeitwa nije. Wadau wanalalamika kuwa unazidisha sana chumvi ladha inapotea please zingatia Utunzi borA
Episode ya mwisho katuma lini? Ili kama vipi niwasiliane naye kumkumbushaTunasubiri mwendelezo
Hawakosekanagi[emoji1787]soma mbele stori tamu wewePoor narration... umeweka mambo mengi sana un necessarily imeboa.
Huyo mjuzi wa historia za kariakoo pekeeMwalimu nguli tunayemjua ni Mohamed Said bila shaka naye atatia neno utakapoanza kutema madini ya history
Kwa maelezo yako Gat naye alikuwa na malengo sana ila muda uliongea. Pengine nawe ungekawizwa kama mwezi hivi hasa ukiangalia kitengo ulichowekwa ni wazi unge sniff tu, kwa kutaka au la. Na ndipo ungemfuata Gat, au unasemajeLeo tumeanza kupata majibu taratibu ya kwanini Manuela haonekani tena kuwa na arosto kama alivyokua haullaga, hivyo mpaka kesho tutakua na majibu kamili yanayomuhusu Manuela au fatemeh kama ni junkie ( mtumiaji wa unga).
Kuhusu Gatkuoth nadhani wote mnakumbuka alikua teja kabisa na si unajua teja hapewi dhamana popote pale yaani teja hajawahi kuaminika popote pale.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Alteza haikuwepo 2012?Kwenye story ya kweli hapo hapana..... Kuna sehemu anasema Merry kafariki 2012..... Mara huko kaenda 2016....
2012.... Anaizungumzia Alteza na Alphard bongo hapana zilikuwa bado.....
Na kingine uwezo wa kukariri miji na majina ya mito kote alikopita siyo kweli.... Unless Kama Kama alitembea na notebook awe ana note down kila anachokiona..... Which siyo kweli kwa jinsi scenarios zilivyo.....
Ni story nzuri ya kutunga ila siyo uhalisia.... Kajitahidi kufanya vizuri homework yake tumpe maua yake kwa hilo
Sent from my SH-01K using JamiiForums mobile app
Sema wewe ndugu yangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] 90% ya alteza za bongo ni namba C za mwanzoni kabisaAlteza haikuwepo 2012?
Umeitwa? Au kimbelembele
Snitches[emoji1787]Mambo ya sengerema na visiwa vya ratra vina husianaje?acha upumbavu