Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Leo tumeanza kupata majibu taratibu ya kwanini Manuela haonekani tena kuwa na arosto kama alivyokua haullaga, hivyo mpaka kesho tutakua na majibu kamili yanayomuhusu Manuela au fatemeh kama ni junkie ( mtumiaji wa unga).

Kuhusu Gatkuoth nadhani wote mnakumbuka alikua teja kabisa na si unajua teja hapewi dhamana popote pale yaani teja hajawahi kuaminika popote pale.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Naona manzi ataliwa mwishoni kama kwenye muvi vile, kiuhalisia dem ambaye hujawahi kumla uko naye chumbani huwezi kupata usingizi
 
Leo tumeanza kupata majibu taratibu ya kwanini Manuela haonekani tena kuwa na arosto kama alivyokua haullaga, hivyo mpaka kesho tutakua na majibu kamili yanayomuhusu Manuela au fatemeh kama ni junkie ( mtumiaji wa unga).

Kuhusu Gatkuoth nadhani wote mnakumbuka alikua teja kabisa na si unajua teja hapewi dhamana popote pale yaani teja hajawahi kuaminika popote pale.

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kwa maelezo yako Gat naye alikuwa na malengo sana ila muda uliongea. Pengine nawe ungekawizwa kama mwezi hivi hasa ukiangalia kitengo ulichowekwa ni wazi unge sniff tu, kwa kutaka au la. Na ndipo ungemfuata Gat, au unasemaje
 
Kwenye story ya kweli hapo hapana..... Kuna sehemu anasema Merry kafariki 2012..... Mara huko kaenda 2016....

2012.... Anaizungumzia Alteza na Alphard bongo hapana zilikuwa bado.....

Na kingine uwezo wa kukariri miji na majina ya mito kote alikopita siyo kweli.... Unless Kama Kama alitembea na notebook awe ana note down kila anachokiona..... Which siyo kweli kwa jinsi scenarios zilivyo.....

Ni story nzuri ya kutunga ila siyo uhalisia.... Kajitahidi kufanya vizuri homework yake tumpe maua yake kwa hilo

Sent from my SH-01K using JamiiForums mobile app
Alteza haikuwepo 2012?
 
Back
Top Bottom