Utajiri wa Magofu ya Rapta

Mwendo huu, naona fatema anaenda kúliwa kimasihara
 
Aiseee, this story ni big bang........vipi hukuwi muuliza kama alikuwa anasagana kule Haullanga?
 
Bacteria wa anaerobic hutokea KWA vyakula vya kukaanga kama maandazi au vitumbua vinapokaa muda mrefu bila kuliwa hasa vikipikwa locally!!

Wauza vitumbua ambao huwa wanapasha vitumbua vya juzi jana ukinunua tu ukala unalo mkuu!

Uombe mungu uharishe au kutapika!!

Aerobics!!!
 
Hao bacteria ni noma kwa wakishua


Lkn kwa sis ungaunga mwana tunakula hadi maandaz ya juzi tena bila kupasha moto na hakuna kuumwa tumbo wala kutapika
 
"pale Lima kuna beach moja ni open beach inaitwa Ancon"

Ulifikapo au uliiona ukiwa dirishani? Maana uliambiwa utulie na ukaonywa juu ya Javier
Nafurahia umakini wa baadhi ya watu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] tuendelee kula mtori nyama zipo chini

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…