Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Moja kati ya vitu vinavyowapa changamoto waandish ni koment za wasomaj



Unakuta mwandishi alishaandika story kitambo lkn kutokana na koment za wadau anajikuta anashawishika kupunguza baadh ya mambo na kuongezea baadh ili kuendana na vaib la wasomaj na hiyo hupelekea eidha story kuwa ndefu au fupi tofaut na ilivyotarajiwa na mwandish
Mkuu mchawi wa hii story ni aftatu tu
 
Ila jamaa hii story ni moto kila mmoja anasubiri fatemeh aliwe basii
Tulio wengi tunapenda jamaa ale tunda kimaskhara na naamin hicho ndicho kinachomtesa mwandishi kwa sabab analazimika kufurahisha hadhira na kulazimika kufanya marekebisho mengi sana ili asitoke nje ya maudhui (mtazamo wa muuza Viat)
 
Tulio wengi tunapenda jamaa ale tunda kimaskhara na naamin hicho ndicho kinachomtesa mwandishi kwa sabab analazimika kufurahisha hadhira na kulazimika kufanya marekebisho mengi sana ili asitoke nje ya maudhui (mtazamo wa muuza Viat)
Ngoja tuone maana kashamla mate ndani ya Tehran
 
Ngoja tuone maana kashamla mate ndani ya Tehran
Alaf ndan ya chumba wapo wawili tu km wachaw yaan


Ila mshkaj anampush sana badala ya kwenda nae mdogomdogo alaf hv unajua km yule bint ni tomboy???
 
Alaf ndan ya chumba wapo wawili tu km wachaw yaan


Ila mshkaj anampush sana badala ya kwenda nae mdogomdogo alaf hv unajua km yule bint ni tomboy???
Ata kama ni tomboy sheikh akikalia mpepe mbona u tom boy unaisha wote
 
Back
Top Bottom