Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Mchawi hesabu haijatimiaAlosto mkuu tulambishe utamu kidogo
Shasoma zote...nilidhani nitapata muendelezo.
Sawa ChiefShasoma zote...nilidhani nitapata muendelezo.
Muendelezo wa apa tulipoishia unapatikana Whatsapp pekee kabla ya kuja huku.Shasoma zote...nilidhani nitapata muendelezo.
Timejua kwa nin hapat arosto!!!TUANZE WEEKEND
Unyonge wa fatemeh uliongezeka maradufu wakati akiwa anajaribu kunisimulia vizuri maisha yake ya hapo nyuma. Nimetumia neno anajaribu kwakua ilionekana ni kazi ngumu kunipa story ile kwani alikua na dalili zote za kutokwa na machozi.
Kama alivyotangulia kusema hapo mwanzoni kwamba hamjui baba wala mama, yeye alikua akijikuta kwenye orphanage (kituo cha kulelea watoto yatima).
Mlezi wake wa Kwanza ambaye alitangulia kumlea kituoni hapo ndiye alimpokea tokea siku anafikishwa kituoni hapo ila mlezi huyo hakufanikiwa kuwajua au kuwatambua wale waliomleta kituoni hapo.
Kwakua fatemeh hakuwahi kabisa kuishi na wazazi hapo kabla hivyo maisha ya kituoni aliyaona ni maisha mazuri kabisa na alipaona kituoni hapo kama nyumbani mpaka alipojitambua. Baada ya kuanza kupata akili za utu uzima ndipo alipogundua kuwa alistahili kuwa na wazazi wake wawili lakini pia alistahili kuwa na mahala ambapo alipaswa kupaita nyumbani.
Mbaya zaidi wakati anakua na kufikia miaka 12 mpaka 13 aliigindua changamoto kubwa kwenye mwili wake ambayo baadae aliamini changamoto hiyo ndiyo ilimpelekea ata kutengwa na wazazi wake akiwa bado mdogo.
Mlezi wake wa hapo awali alimlea katika misingi ambayo ilimfanya asigundue changamoto hiyo au asigundue kama alikua tofauti na wenzie wote kituoni hapo.
Kabla fatemeh hajamaliza kunisimulia vizuri au tuseme tu akiwa mwanzoni kabisa mwa simulizi alisimama na kuondoka akikimbilia chumbani kwake.
Alipokimbilia chumbani kwake ilitosha sana kunipa ishara kwamba hataki kunisimulia au hataki kukumbuka au kujua nini kilimtokea kwenye maisha yake ya hapo nyuma.
Nilimfuata lakini kwa bahati mbaya alifunga na mlango kabisa ili kudhihirisha hakua tayari kuendelea na maongezi yale.
Hivyo ata mimi niliishia mlangoni bila mafanikio ya kuingia ndani, kiukweli niliumia sana kwa jinsi nilivyomuona fatemeh wakati huo yaani ilionekana wazi kuwa anaumia sana kwa maisha yake anayopitia.
Aisee ukijiona na ndugu, yaani namaanisha kwenye maisha yako kama una mtu wa kumuita mjomba au kaka au dada basi mshukuru mungu sana. Haijalishi kama watu hao wapo hai au walishatangulia mbele za haki, kikubwa ukifanikiwa kujua kama una ndugu lakini pia ukiwa na kwenu mshukuru sana m/mungu.
Kwa hali aliyokuwa anapitia fatemeh ni wazi ata ikitokea anaumwa basi mtu wa karibu au watu wa karibu ni wale aliokua anafanya nao kazi lakini mbali na hapo anaweza akafia kitandani.
Fatemeh akiwa amejifungia chumbani kwake ni wazi alikua analia tena kilio cha kwikwi ila hakutaka nishuhudie machozi yake.
Nafsi alijawa na huruma kwa kile alichokua anakipitia fatemeh ila nilishindwa kujua namsaidiaje. Nilijaribu kubisha hodi nione kama atanifungulia lakini hakukua na dalili yoyote ya kufungua mlango ule.
MIMI: do you think we met by accident?
( Fatemeh unafikiri tumekutana kwa bahati mbaya?)
Kwa Wakati huo sasa niliona kabisa natakiwa kutumia busara kubwa sana kuhakikisha namtuliza.
Nilikua najaribu kumueleza kwamba mimi na yeye hatuja kutana kwa bahati mbaya, yaani kuna sababu kubwa sana ya mimi na yeye kukutana na ndio maana bado tupo pamoja.
Nilimsisitiza kuwa ndugu sio lazima awe wa damu hivyo basi ata mimi pia naweza kuwa ndugu yake kuanzia wakati huo. Psychologically niligundua kuwa alichokua anakihitaji fatemeh sio chochote bali ni faraja tu.
Lakini wakati huo naendelea kutafuta busara zaidi niliwaza pia kwanini mlezi wake aliuwawa? Nani alimuua na kwanini walimuua.
Pia niliamini kwa ujasusi alionao fatemeh ni lazima kuna namna bado anafuatilia kama sio asili yake basi ata kifo cha aliyekua mlezi wake.
Fatemeh alifungua mlango na kusimama katikati mlango ule, muda huo uso wote ulilowa machozi ambayo ilionekana wazi kuwa alijitahidi kuyazuia lakini yalitoka mfululizo.
Nilichokifanya wakati ule ni kwenda kumkumbatia kwa uchungu sana nikionesha na mimi ni kwa namna gani nimeguswa na kile anachokipitia wakati huo.
Fatemeh alinipa ushirikiano yaani alinikumbatia pia tena kwa nguvu na kwa uchungu mno huku nikihisi kuloweshwa na machozi mabegani mwangu.
Baada ya kuwa zimepita kama sekunde sitini hivi nilimtoa mabegani mwangu na kisha nikamwangalia usoni. Sikua na jinsi zaidi ya kumpelekea lips zangu kwenye mdomo wake na yeye alizipokea bila hiyana, apa nilikumbuka ile siku tukiwa haullaga tulikiss kwa namna ileile.
Baada ya kupiga lita kadhaa kwenye mdomo wake ni kama fatemeh alistuka na kujitoa kwenye mikono yangu kisha akakimbilia dirishani ambako aligeukia huko bila kunitazama kabisa.
FATEMEH: Sorry can you leave me alone for a while?
( Samahani Ludovic unaweza kuniacha peke yangu kwa muda)
MIMI: I have no reason to leave you alone
( Sina sababu ya kukuacha peke yako)
FATEMEH: what you think is impossible
(Unaloliwaza haliwezekani)
Sikumuelewa fatemeh alimaanisha nini kwa kauli ile, ila alipoona nimegoma kutoka au kumpisha aliamua kuondoka yeye na alielekea sitting room ambako alikaa kama mkiwa akionekana kuwaza sana.
Baada ya kuniacha chumbani kwake sikuona haja ya mimi kuendelea kubaki pale hivyo nilimfuata tena, lakini sikuenda alipokaa yeye zaidi nilisogelea meza ya chakula kisha nikabeba sahani ya msosi mpaka alipokaa fatemeh.
MIMI: Forget the past but also forgive those who put you in these troubles
( Sahau yaliyopita lakini pia wasamehe waliokuweka kwenye shida hizi)
FATEMEH: I don't think
(Sidhani)
Nilichukua uma na nilijaribu kumlisha fatemeh chakula kile, aliachama au niseme alifunua mdomo. Lakini wakati ana achama alifumba na macho pia ishara ya kwamba hakutaka kuona kinachoendelea pale.
Baada ya kumeza chakula nilichomuwekea mdomo, machozi yalimtoka kwa mara ya pili tena safari hii yalitoka mengi zaidi.
FATEMEH: why did you came to my life?
( Kwanini umekuja kwenye maisha yangu)
FATEMEH: Tell me your purpose, I think you have come to add more problems to me
( Nambie dhumuni lako, nahisi umekuja kuniongezea matatizo zaidi)
Sikutaka kujibu swali lake zaidi niliendelea kumlisha na ilionekana wazi kabisa kuna mambo ambayo fatemeh hajawahi kuyapitia kwenye maisha yake. Miongoni mwa Mambo hayo pia lilikua ni swala la yeye kujihisi kuthaminiwa na mtu yoyote.
Kwa muonekano wa fatemeh wakati huo mtu yoyote asingedhania huyu ndiyo yule niliyekua nae maporini na huyuhuyu ndie yule binti aliyepitia mafunzo mengi ya hatari kwa kuanzia na yale ya ninjutsu.
Kwa Wakati huo nilijaribu kumtengenezea mazingira ya kuendelea kuniamini na kuniweka karibu yake zaidi. Niliamini kwa kufanya hivyo ningemsaidia pia kwani kama mwanamke alihitaji pia kujihisi anapendwa na kuthaminiwa.
Lakini pia alikosa kile watu wanaita sense of belonging, hivyo nilijaribu kumtengenezea mazingira hayo yote ili asijione kama yupo peke ake kwenye ulimwengu huu.
Lakini pia yote hayo niliyafanya ili kumuongezea thamani kwani kwa haraka haraka alionekana kama mtu ambae hana sababu ya kuishi. Ila ilikua kuwa ngumu kuyagundua yote hayo kwa haraka haraka.
FATEMEH: you know what Ludovic
( Unajua Ludovic)
MIMI: tell me
( Nambie)
FATEMEH: You kissed me for the first time
( Ulinibusu kwa mara ya kwanza)
MIMI: of course
( Bila shaka)
FATEMEH: then you hugged me
( Tena ulinikumbatia)
MIMI: yes of course
( Ndio )
FATEMEH: we went further More and sucked your dick
( Tukaenda mbali zaidi nikanyonya na d***)
MIMI: yeah
( Ni kweli kabisa)
Kazi yangu ilikua ni kuitikia tu sikujua anataka aseme nini mpaka muda huo.
FATEMEH: Not that I've never done all this
( Sio kwamba sijawahi kufanya yote haya)
Na aliendelea kusema
"I did but with my fellow women"
( Nilifanya hivyo lakini kwa wanawake wenzangu)
Hapa alikua akiongea kwa hisia kweli, na alidai kwenye maisha yake yote tokea alipobarehe mpaka kufikia umri huo alikua akifanya michezo hiyo na wale aliokua nao either shuleni au ata kwenye vituo alivyokua akilelewa.
Hivyo hakuwahi kufanyiwa mambo hayo yote na mwanaume, yaani hajawahi kukiss na mwanaume, hajawahi ku hug na mwanaume, na hajawahi ata kushika maumbile ya kiume.
Hayo yote aliyafanya kwa mara ya kwanza kwangu, na kiukweli tokea siku ya kwanza tukiwa haullaga yaan apa alimaanisha ile siku aliyojaribu kunifanyia blowjob alipata hisia za ajabu sana.
Alidai kwenye maisha yake hajawahi kuwa treated kama mwanamke linapokuja swala la sex, hapo nikagundua hata kule haullaga basi Catarina ndio alikua mwanamke na sio yeye kama tulivyodhania mimi na Javier.
Hivyo basi kwa mara ya kwanza mimi ndio nilimtreat kama mwanamke na hii ni baada ya yeye kunifanyia blowjob, alidai hisia alizopata siku hiyo alishindwa kabisa kujizuia ndio maana siku ile aliniaga haraka haraka na kuondoka.
Sasa basi kwa maelezo ya fatemeh, alimaanisha hapo mwanzo hakujiona kama mwanamke isipokua mimi ndio nilimfanya ajione kama mwanamke kabisa.
Hivyo hapo kabla alikua ni mwanamke kimuonekano na kimavazi lakini kwenye swala la mapenzi aliact kama mwanaume, na hii sio kwa Catarina tu bali aliwafanyia hivyo wengi sana hapo kabla.
(0623329512 Whatsapp) kwa muendelezo njoo tupo mbali zaidi around kwenye episodes 15 kutoka apa tulipo. ( Whatsapp zinatumwa kila siku)
Mpaka sasa tumejua fatemeh alitokea Cerro de Pasco kwenye misheni iliyoitwa Industrial espionage kabla hajaenda haullaga na tumejua kwanini kwasasa hapati arosto kwa ilivyokua apo awali.
Baadae tutaelezana kuhusu honey trap au sexpionage kama inavyopendwa kutumiwa na majasusi wa KGB, kama una date na demu ambaye ni jasusi basi kupitia mbinu ya honey trap kumegewa ni swala la muda tu.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Kipo mbele sana mzee kwa watu wa Whatsapp wameshakifikia na naendelea kudadavua,Timejua kwa nin hapat arosto!!!
Inamaana kipande hicho kilinipita???
Bwasheee,hiyo hapat arosto ipo ep. ya ngap???
Sawa bwasheeeKipo mbele sana mzee kwa watu wa Whatsapp wameshakifikia na naendelea kudadavua,
Wakati Manuela au fatemeh anaelezea misheni ya kwanza kumpeleka Peru ambayo ilikua ni industrial espionage ata eleza na hilo pia kupitia ugonjwa unaotambulika kama ADHD.
nisimalize radha mzigo unakuja kaa kwa kutulia chief.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Nitakiweka bwashee siku si nyingiSawa bwasheee
Kwa mujibu wa maelezo yako hapo tulishajua kinachosababisha awe na arosto ndio maana ulinishtua
Mchaw aftat Wallah
Tupo hapa tunasubir bwasheee
Aiseeh noma kweli,, Natamani sana nije kuwa jasusi mkuu hivi nitaanzia wapi?TUANZE WEEKEND
Unyonge wa fatemeh uliongezeka maradufu wakati akiwa anajaribu kunisimulia vizuri maisha yake ya hapo nyuma. Nimetumia neno anajaribu kwakua ilionekana ni kazi ngumu kunipa story ile kwani alikua na dalili zote za kutokwa na machozi.
Kama alivyotangulia kusema hapo mwanzoni kwamba hamjui baba wala mama, yeye alikua akijikuta kwenye orphanage (kituo cha kulelea watoto yatima).
Mlezi wake wa Kwanza ambaye alitangulia kumlea kituoni hapo ndiye alimpokea tokea siku anafikishwa kituoni hapo ila mlezi huyo hakufanikiwa kuwajua au kuwatambua wale waliomleta kituoni hapo.
Kwakua fatemeh hakuwahi kabisa kuishi na wazazi hapo kabla hivyo maisha ya kituoni aliyaona ni maisha mazuri kabisa na alipaona kituoni hapo kama nyumbani mpaka alipojitambua. Baada ya kuanza kupata akili za utu uzima ndipo alipogundua kuwa alistahili kuwa na wazazi wake wawili lakini pia alistahili kuwa na mahala ambapo alipaswa kupaita nyumbani.
Mbaya zaidi wakati anakua na kufikia miaka 12 mpaka 13 aliigindua changamoto kubwa kwenye mwili wake ambayo baadae aliamini changamoto hiyo ndiyo ilimpelekea ata kutengwa na wazazi wake akiwa bado mdogo.
Mlezi wake wa hapo awali alimlea katika misingi ambayo ilimfanya asigundue changamoto hiyo au asigundue kama alikua tofauti na wenzie wote kituoni hapo.
Kabla fatemeh hajamaliza kunisimulia vizuri au tuseme tu akiwa mwanzoni kabisa mwa simulizi alisimama na kuondoka akikimbilia chumbani kwake.
Alipokimbilia chumbani kwake ilitosha sana kunipa ishara kwamba hataki kunisimulia au hataki kukumbuka au kujua nini kilimtokea kwenye maisha yake ya hapo nyuma.
Nilimfuata lakini kwa bahati mbaya alifunga na mlango kabisa ili kudhihirisha hakua tayari kuendelea na maongezi yale.
Hivyo ata mimi niliishia mlangoni bila mafanikio ya kuingia ndani, kiukweli niliumia sana kwa jinsi nilivyomuona fatemeh wakati huo yaani ilionekana wazi kuwa anaumia sana kwa maisha yake anayopitia.
Aisee ukijiona na ndugu, yaani namaanisha kwenye maisha yako kama una mtu wa kumuita mjomba au kaka au dada basi mshukuru mungu sana. Haijalishi kama watu hao wapo hai au walishatangulia mbele za haki, kikubwa ukifanikiwa kujua kama una ndugu lakini pia ukiwa na kwenu mshukuru sana m/mungu.
Kwa hali aliyokuwa anapitia fatemeh ni wazi ata ikitokea anaumwa basi mtu wa karibu au watu wa karibu ni wale aliokua anafanya nao kazi lakini mbali na hapo anaweza akafia kitandani.
Fatemeh akiwa amejifungia chumbani kwake ni wazi alikua analia tena kilio cha kwikwi ila hakutaka nishuhudie machozi yake.
Nafsi alijawa na huruma kwa kile alichokua anakipitia fatemeh ila nilishindwa kujua namsaidiaje. Nilijaribu kubisha hodi nione kama atanifungulia lakini hakukua na dalili yoyote ya kufungua mlango ule.
MIMI: do you think we met by accident?
( Fatemeh unafikiri tumekutana kwa bahati mbaya?)
Kwa Wakati huo sasa niliona kabisa natakiwa kutumia busara kubwa sana kuhakikisha namtuliza.
Nilikua najaribu kumueleza kwamba mimi na yeye hatuja kutana kwa bahati mbaya, yaani kuna sababu kubwa sana ya mimi na yeye kukutana na ndio maana bado tupo pamoja.
Nilimsisitiza kuwa ndugu sio lazima awe wa damu hivyo basi ata mimi pia naweza kuwa ndugu yake kuanzia wakati huo. Psychologically niligundua kuwa alichokua anakihitaji fatemeh sio chochote bali ni faraja tu.
Lakini wakati huo naendelea kutafuta busara zaidi niliwaza pia kwanini mlezi wake aliuwawa? Nani alimuua na kwanini walimuua.
Pia niliamini kwa ujasusi alionao fatemeh ni lazima kuna namna bado anafuatilia kama sio asili yake basi ata kifo cha aliyekua mlezi wake.
Fatemeh alifungua mlango na kusimama katikati mlango ule, muda huo uso wote ulilowa machozi ambayo ilionekana wazi kuwa alijitahidi kuyazuia lakini yalitoka mfululizo.
Nilichokifanya wakati ule ni kwenda kumkumbatia kwa uchungu sana nikionesha na mimi ni kwa namna gani nimeguswa na kile anachokipitia wakati huo.
Fatemeh alinipa ushirikiano yaani alinikumbatia pia tena kwa nguvu na kwa uchungu mno huku nikihisi kuloweshwa na machozi mabegani mwangu.
Baada ya kuwa zimepita kama sekunde sitini hivi nilimtoa mabegani mwangu na kisha nikamwangalia usoni. Sikua na jinsi zaidi ya kumpelekea lips zangu kwenye mdomo wake na yeye alizipokea bila hiyana, apa nilikumbuka ile siku tukiwa haullaga tulikiss kwa namna ileile.
Baada ya kupiga lita kadhaa kwenye mdomo wake ni kama fatemeh alistuka na kujitoa kwenye mikono yangu kisha akakimbilia dirishani ambako aligeukia huko bila kunitazama kabisa.
FATEMEH: Sorry can you leave me alone for a while?
( Samahani Ludovic unaweza kuniacha peke yangu kwa muda)
MIMI: I have no reason to leave you alone
( Sina sababu ya kukuacha peke yako)
FATEMEH: what you think is impossible
(Unaloliwaza haliwezekani)
Sikumuelewa fatemeh alimaanisha nini kwa kauli ile, ila alipoona nimegoma kutoka au kumpisha aliamua kuondoka yeye na alielekea sitting room ambako alikaa kama mkiwa akionekana kuwaza sana.
Baada ya kuniacha chumbani kwake sikuona haja ya mimi kuendelea kubaki pale hivyo nilimfuata tena, lakini sikuenda alipokaa yeye zaidi nilisogelea meza ya chakula kisha nikabeba sahani ya msosi mpaka alipokaa fatemeh.
MIMI: Forget the past but also forgive those who put you in these troubles
( Sahau yaliyopita lakini pia wasamehe waliokuweka kwenye shida hizi)
FATEMEH: I don't think
(Sidhani)
Nilichukua uma na nilijaribu kumlisha fatemeh chakula kile, aliachama au niseme alifunua mdomo. Lakini wakati ana achama alifumba na macho pia ishara ya kwamba hakutaka kuona kinachoendelea pale.
Baada ya kumeza chakula nilichomuwekea mdomo, machozi yalimtoka kwa mara ya pili tena safari hii yalitoka mengi zaidi.
FATEMEH: why did you came to my life?
( Kwanini umekuja kwenye maisha yangu)
FATEMEH: Tell me your purpose, I think you have come to add more problems to me
( Nambie dhumuni lako, nahisi umekuja kuniongezea matatizo zaidi)
Sikutaka kujibu swali lake zaidi niliendelea kumlisha na ilionekana wazi kabisa kuna mambo ambayo fatemeh hajawahi kuyapitia kwenye maisha yake. Miongoni mwa Mambo hayo pia lilikua ni swala la yeye kujihisi kuthaminiwa na mtu yoyote.
Kwa muonekano wa fatemeh wakati huo mtu yoyote asingedhania huyu ndiyo yule niliyekua nae maporini na huyuhuyu ndie yule binti aliyepitia mafunzo mengi ya hatari kwa kuanzia na yale ya ninjutsu.
Kwa Wakati huo nilijaribu kumtengenezea mazingira ya kuendelea kuniamini na kuniweka karibu yake zaidi. Niliamini kwa kufanya hivyo ningemsaidia pia kwani kama mwanamke alihitaji pia kujihisi anapendwa na kuthaminiwa.
Lakini pia alikosa kile watu wanaita sense of belonging, hivyo nilijaribu kumtengenezea mazingira hayo yote ili asijione kama yupo peke ake kwenye ulimwengu huu.
Lakini pia yote hayo niliyafanya ili kumuongezea thamani kwani kwa haraka haraka alionekana kama mtu ambae hana sababu ya kuishi. Ila ilikua kuwa ngumu kuyagundua yote hayo kwa haraka haraka.
FATEMEH: you know what Ludovic
( Unajua Ludovic)
MIMI: tell me
( Nambie)
FATEMEH: You kissed me for the first time
( Ulinibusu kwa mara ya kwanza)
MIMI: of course
( Bila shaka)
FATEMEH: then you hugged me
( Tena ulinikumbatia)
MIMI: yes of course
( Ndio )
FATEMEH: we went further More and sucked your dick
( Tukaenda mbali zaidi nikanyonya na d***)
MIMI: yeah
( Ni kweli kabisa)
Kazi yangu ilikua ni kuitikia tu sikujua anataka aseme nini mpaka muda huo.
FATEMEH: Not that I've never done all this
( Sio kwamba sijawahi kufanya yote haya)
Na aliendelea kusema
"I did but with my fellow women"
( Nilifanya hivyo lakini kwa wanawake wenzangu)
Hapa alikua akiongea kwa hisia kweli, na alidai kwenye maisha yake yote tokea alipobarehe mpaka kufikia umri huo alikua akifanya michezo hiyo na wale aliokua nao either shuleni au ata kwenye vituo alivyokua akilelewa.
Hivyo hakuwahi kufanyiwa mambo hayo yote na mwanaume, yaani hajawahi kukiss na mwanaume, hajawahi ku hug na mwanaume, na hajawahi ata kushika maumbile ya kiume.
Hayo yote aliyafanya kwa mara ya kwanza kwangu, na kiukweli tokea siku ya kwanza tukiwa haullaga yaan apa alimaanisha ile siku aliyojaribu kunifanyia blowjob alipata hisia za ajabu sana.
Alidai kwenye maisha yake hajawahi kuwa treated kama mwanamke linapokuja swala la sex, hapo nikagundua hata kule haullaga basi Catarina ndio alikua mwanamke na sio yeye kama tulivyodhania mimi na Javier.
Hivyo basi kwa mara ya kwanza mimi ndio nilimtreat kama mwanamke na hii ni baada ya yeye kunifanyia blowjob, alidai hisia alizopata siku hiyo alishindwa kabisa kujizuia ndio maana siku ile aliniaga haraka haraka na kuondoka.
Sasa basi kwa maelezo ya fatemeh, alimaanisha hapo mwanzo hakujiona kama mwanamke isipokua mimi ndio nilimfanya ajione kama mwanamke kabisa.
Hivyo hapo kabla alikua ni mwanamke kimuonekano na kimavazi lakini kwenye swala la mapenzi aliact kama mwanaume, na hii sio kwa Catarina tu bali aliwafanyia hivyo wengi sana hapo kabla.
(0623329512 Whatsapp) kwa muendelezo njoo tupo mbali zaidi around kwenye episodes 15 kutoka apa tulipo. ( Whatsapp zinatumwa kila siku)
Mpaka sasa tumejua fatemeh alitokea Cerro de Pasco kwenye misheni iliyoitwa Industrial espionage kabla hajaenda haullaga na tumejua kwanini kwasasa hapati arosto kwa ilivyokua apo awali.
Baadae tutaelezana kuhusu honey trap au sexpionage kama inavyopendwa kutumiwa na majasusi wa KGB, kama una date na demu ambaye ni jasusi basi kupitia mbinu ya honey trap kumegewa ni swala la muda tu.
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Unapendea nini kwenye ujasusi Chief??Aiseeh noma kweli,, Natamani sana nije kuwa jasusi mkuu hivi nitaanzia wapi?
Gender;me
Ipo juu apo icheki bossMkuu nikajua umeshusha new episode..
Naamini kupitia ujasusi ni njia mojawapo itayonipatia elimu nyingne ambayo haiko exposed sana kwa Kila mtu,napenda sana kujifunza vitu vipya kiongozi, Kwan najua the world has a lot to offer us than what we have been enslaved to believe.Unapendea nini kwenye ujasusi Chief??
tafuta pesa uishi maisha mazuri utayoyataka wewe mwenyewe hayo mengine ni UTUMWA MPAKA KIFO CHAKO
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hii ngoma inavyoonekana ndo kwanzaa inaanza
Sijui kwa nini, lakini nahisi wewe ni usalama wa taifa!Ghorofa ile ilikua na zaidi ya floors 24, kwani mimi na fatemeh tulishuka au tuliishia flow hiyo ya 24 lakini bado kulikua na floor nyingine kwenda juu zaidi. Na Ndani ya floor hiyo ndipo kulipokua na apartment aliyokua akiishi fatemeh.
Tulipofika ndani ya apartment hiyo fatemeh aliniambia hapo ni kwake hivyo naweza kumpumzika kwa amani kabisa kwani nipo sehemu salama.
Mandhari ya apartment hiyo ilinivutia sana kiukweli kwani palikua pametulia mno hakukua na kelele wala movements za watu za hapa na pale.
Ukiwa ndani ya apartment hiyo unaweza kuuangalia mji wote na shughuli zote zilizokua zikiendelea mjini hapo. Fatemeh alinionyesha chumba ambacho nitalala siku zote nikiwa hapo kabla ya kurudi bongo na alisema ameagiza aletewa kila kitu cha msingi kiichotakiwa kuwepo ndani hivyo ikitokea yeye hayupo nitaweza kupata kila kitu ndani na sitakuwa na haja ya kutoka ndani umo.
MIMI: Why do you live on your own without siblings?
( Kwanini unaishi mwenyewe hauna ndugu?)
FATEMEH: you should be my brother, how do you think
( Tufanye uwe kaka yangu basi, unaonaje)
Kwa majibu yale niligundua hakua na ndugu kabisa ndio maana alikua pale akiishi peke yake.
MIMI: you can't be my sister
( Hahahahah huwezi kuwa dada yangu)
FATEMEH: why
( Kwanini)
MIMI: you already sucked my dick
( Unakuaje dada yangu wakati tayari umeshanyonya ****)
Jibu langu lilimfanya awe na ki aibu cha kike na kilimpelekea kupoteza utulivu kabisa.
FATEMEH: now.....!!!! who can we be if not brother and sister
( Sasa tunaweza kuwa nani kama sio kaka na dada)
MIMI: lovers
( Wapenzi)
Fatemeh hakujibu chochote zaidi aliniangalia tu na kusimama kuelekea kwenye chumba chake. Mpaka hapo niligundua fatemeh na ujanja wake hakuwahi kuwa na interaction na wanaume.
Wale wanaume alio interact nao ni wale waliohusisha mambo ya kazi pekee lakini mbali na hapo kuna uwezekano mkubwa hakua ata na rafiki wa kiume.
Hivyo apo nilitamani sana kujua story ya maisha yake huko nyuma, yaani alisoma vipi na alikulia wapi na kuzaliwa wapi.
Kutokujiamini kwake niligundua tulipokua ndani kwani hakua na utulivu kabisa ata kuniangalia usoni hakuweza kabisa. Jambo hilo ndio lililo nipelekea nazidi kujua weakness yake na mimi kumkazia sana usoni tunapokua kwenye maongezi hali iliyomfanya kukosa utulivu kabisa.
Baada ya kuona mwenzangu amenikimbia pale sitting room kutokana na maneno yangu ambayo yalimkosesha amani. Na mimi nilielekea kwenye room ambayo niliambiwa ndio nitaitumia siku zote nitakapo kuwa eneo hilo.
Cha kwanza kabisa ilikua ni kuoga, wakati nipo bafuni niliskia kama kengele ya mlangoni ina bisha hapo nilijua kuna mgeni amefika eneo hilo.
Wakati naendelea na kuoga na mlango wa chumba changu ulifunguliwa japo sikujua ni nani ameingia mi niliendelea na shughuli zangu chooni.
Nilipotoka kuoga nilikuta mfuko mkubwa wa plastic ukiwa kitandani, ndani ya mfuko ule kulikua na nguo mbali mbali zikiwemo na kanzu pia. Hapo niligundua aliyekua anapiga hodi ya kengele ndiye aliyekua amekuja na mzigo huo wa nguo.
Kwenye zile nguo zote zilizokuwepo eneo lile niliona ngoja nivae kanzu kwani kwenye maisha yangu sikuwahi kuvaa vazi hilo kabisa hivyo niliona wakati huo ni wakati sahihi kabisa kujaribu vazi hilo.
Baada ya kutupia kanzu yangu ambayo ilionekana ni ghali sana mjini pale, nilijisogeza mpaka sitting room ambapo nilimkuta fatemeh akibeba baadhi ya mizigo iliyoletwa hapo akiipeleka jikoni na stores.
FATEMEH: mashaallah!!!.... You look amazing today
( Mashaallah, umependeza sana)
Pia aliuliza kwanini nimechagua kuvaa kanzu wakati zilikuwepo nguo za kibrazamen mfano t-shirt na jinsi na kadet pia. Jibu langu liikua ni lilelile sikuwahi kuvaa kanzu hivyo basi nilitaka kujua ninaonekana vipi.
Nilianza kumsaidia fatemeh kubeba mizigo hiyo kupeleka store na jikoni, wakati tunaendelea na ubebaji niliuliza ni nani aliyekua akibisha hodi ya kengele.
Kwa majibu yake ni watu wa delivery na hao ndio watu pekee ambao hufika hapo kwani hakuna mtu mwingine yoyote ambaye anaweza kufika hapo ukizingatia hakuwahi kuwa na ndugu au kuwajua ndugu zake kabisa.
Hata hivyo fatemeh alionekana kufurahia uwepo wangu Ndani ya nyumba ile niligundua hilo baada ya kusikia kauli yake. Alisema kwa miaka kadhaa toka atoke kituo cha nursery imam Ali amekua akiishi peke yake ndani ya nyumba hiyo.
Lakini siku hiyo alikua ni mwenye faraja baada ya kuona tupo wawili tunabadilishana mawazo na kupiga stories mbalimbali japo kuna muda story zangu zinamkera.
Alidai nimeshindwa kumsoma yeye ni mtu wa aina gani kwani nimekuwa nikitanguliza tamaa ya ngono sana wakati yeye hakua na mawazo hayo.
Lakin pia alidai hakuwahi kuwa na mahusiano ya karibu na mwanaume wa aina yoyote mpaka kufikia umri huo. Hivyo basi kulingana na maisha aliyolelewa mpaka kufikia hapo mimi ndio mwanaume aliyewahi kuwa nae karibu mpaka kufikia hatua ya kushika maungo yangu.
Hivyo alitanguliza kusema sababu kubwa ya kunizoea mpaka kufikia hatua hiyo imesababishwa na namna tulivyoanza mazoea hayo tukiwa haullaga.
MIMI: ok....! that's why miss aparecida Said I'm very lucky man
( Ndio maana aparecida alisema nina bahati sana)
Since I very lucky man, i can get your virginity too
fatemeh alisema kwa tabia zangu hizi za kujifanya kidume mwenye uchu kumbe ni bora Javier angeniacha jamaa wanishughulikie.
Hapo niligundua anachukizwa na maneno yangu ya kufosi kula tunda kwani yeye hakuwa na mawazo hayo kabisa. Muda wote tukiwa ndani fatemeh alikua amefunika kichwa, sasa nilishangaa sana kwani hapo mwanzo tukiwa haullaga hakuwa vile kabisa.
MIMI: why you still covering yourself, you didn't do that when we were in haullaga.
( Mbona bado unajifunika wakati hukufanya hivyo tukiwa haullaga. Kama umeamua kujifunika jifunike tukiwa nje huku ndani niache nifurahie urembo wako)
Apa sasa fatemeh alijibu kwamba Kule haullaga alikua ni Manuela ila huku Tehran nipo na fatemeh binti wa ki-shia ambayo hapitwi na swala kabisa.
Hapa pia nilimuuliza kama yeye ni mtu wa swala ilikuaje akawa anatumia dawa za kulevya akiwa haullaga tena alikua teja kabisa.
Majibu ya fatemeh yalikua mepesi mno, alisema next time atanieleza ni nini kilikua kinafanyika pale ila ukweli ni kwamba kwenye maisha yake hakuna kilevi alichowahi kutumia mpaka anafikia umri huo.
Ni wazi fatemeh hakupenda kujibu maswali yaliyohusu taaluma yake ya ujasusi lakini pia taaluma yake ya udukuzi kwani maswali mengi aliyaacha na kusema ata nieleza kiundani hapo baadae kwani bado hakua ameniamini kiasi hicho licha ya kua na taarifa zangu za kutosha.
Muda huu tulishamaliza kuweka sawa mizigo yote kuanzia jikoni mpaka store hivyo tulikua wote tupo jikoni tukiendelea na mapishi. Mtoto wa kibongo sikua nyuma sana yaani yeye akishika nyanya mimi nashika kitunguu.
Yeye akishika mafuta mimi nashika mwiko au kijiko, yote hiyo niliifanya kuhakikisha naendelea kutengeneza ukaribu nae kwani Imani yangu ya kula tunda ilirudi upya kabisa.
Kwa asilimia fulani nilifanikiwa kwani tukiwa jikoni tulikua close sana yaani ukaribu uliongezeka lakini pia alikua huru ukilinganisha na masaa machache yaliyopita.
Lakini pia niligundua ata yeye kuna vitu alikua anavitamani sana ila alishindwa kuweka wazi labda kutokana na msimamo wa dini yake au labda maadili ya kazi yake.
Wakati huo nikiwa na fatemeh pia niligundua kuwa ni mtu aliyewahi kuishi maisha ya upweke ulipitiliza hapo kabla. Kwani kitendo cha kutokua na wazazi wala ndugu basi ni dhahiri aliishi maisha ya upweke sana kuanzia utoto wake mpaka anafikia utu uzima huo.
Ni wazi kampani yangu ilimfanya kujiona sasa ni mtu mwenye rafiki wa karibu lakini pia alijiona wa thamani kwa kuwa na mtu wa kubadilishana nae mawazo.
Licha ya hivyo katabia kangu ka kufosi kula tunda kalimfanya na yeye ajione mwanamke ambaye anavutia mbele ya wanaume. Kwani ilionekana wazi watu anaofanya nao kazi wasingeweza kumchombeza kwa namna yoyote ile.
MIMI: can I see your childhood memories like photos?
( Naweza kuona kumbukumbu zako za utotoni kama picha na vingine, niliongezea hapo kwamba anaonekana enzi za utoto wake alikua very cute girl)
FATEMEH: Even my self wish I could see them
( Hata Mimi pia natamani ningeziona)
Kwa majibu hayo nilijua kabisa ni wazi ata yeye hakuwahi kuona picha zake za utoto.
Lakini pia niliwaza inawezekana fatemeh akawa na story ngumu sana inayohusu maisha yake. Hapo niimuomba anipe at least nusu ya story ya maisha yake mpaka anafika umri huo.
Sura ya fatemeh iliongezeka upole na majonzi kwa wakati mmoja, alibeba msosi ambao ulikua tayari na mimi nilibeba msosi pia tukaelekea mezani sehemu ya dinning table.
Tukiwa dinning fatemeh aliuliza kuwa nataka kusikia story ya maisha yake kuanzia wapi. Kwani yeye mwenyewe haujui mwanzo wake zaidi anachokumbuka ni maisha yake kuanzia kituo cha nursery imam Ali.
Nyuma ya hapo hakuna anachokumbuka, yaani hajui alizaliwa wapi? Baba yake ni nani, mama yake ni nani wala hajui ndugu lakini pia hajui alifikaje kituoni hapo.
Mlezi wake wa kwanza aliyempokea kituoni hapo alikufa kwa kuwekewa sumu aina ya Botulinum inayotokana na bakteria wanaofahamika kama anaerobic.
Lakini kwa upande wake ana amini kuuwawa kwa mlezi huyo kulisababishwa na yeye mwenyewe yaani fatemeh ndio aliyepelekea kuuwawa kwa mlezi huyo.
Fatemeh aliligundua hilo baada ya uchunguzi wake binafsi alioufanya baada ya kuwa ametoka kwenye kituo hicho. Na ni kupitia uchunguzi huo ndio aligundua kutumika kwa sumu hiyo kwenye mauaji ya mlezi huyo.
Ni taasisi au idara ya MOIS ndio iliyomtoa fatemeh kwenye kituo hicho na kumpeleka kwenye kituo kingine baada ya kugundua uwezo wake mkubwa wa darasani.
Wakati tunaendelea na story zile ilionekana wazi kama fatemeh hakuwahi kuulizwa swali lolote kuhusu maisha yake hapo nyuma. Lakini pia niligundua kuna siri kubwa iliyopo nyuma ya maisha yake, na kuna uwezekano mkubwa kuwa siri hiyo inafichwa na either serikali ya Iran au ata yeye mwenyewe.
0623329512 ( Whatsapp) kama ukihitaji kusogea mbele zaidi kwa kutumia PDF ( BUKU TATU TU!)
bandari haijauzwa mama yupo kazini,
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Moja kati ya vitu vinavyowapa changamoto waandish ni koment za wasomajHii ngoma inavyoonekana ndo kwanzaa inaanza