Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Kwamba demu alienda kukaa meza moja na huyu mwamba wakazungumza alafu akarudi ghetto jamaa akamla mate 😀😄😀 Acheni maskhara!
Ni hadithi nzuri umejitahidi sana, lakini kusema ni true story, HAPANA.

Kwamba jasusi anaendeshwa na dereva asiyemjua muda wote huo? Na yeye ni jasusi😀
20240406_181510.jpg
 
Wapi Mugabonihela?

Nimekuja mbio mbio nikidhani uzi wako umeanza kuuendeleza🙄
 
Back
Top Bottom