Kwani kakulazimisha kusoma.?Unaokoteza story muendelezo wenyewe ujinga mtupu
Usione ukimya jamaa Yuko chini ya bahari anatafuta hazina..Huyu jamaa anatunyanyasa sana.
Si amesema wasap story imeisha kitambo, Kama Una haraka nenda wasap, Mimi nitasubiri Kwan nikiimalizia mwakani kuna shida ganUsione ukimya jamaa Yuko chini ya bahari anatafuta hazina..
Muandishi uwenda aliandika kitabu...Tusubiri tuka nunue..Mwanetu malizia story
Yeye na fatameh watakuwa kwenye operation maalum mossad uko Israel saiv sio Kwa huu ukimyaMugabonihela Masawe,,,we ndugu Masawe vipi mbona kimya sana meku?