Utajiri wa Magofu ya Rapta

Utajiri wa Magofu ya Rapta

Tupia kitu mkuu[emoji39][emoji39]
Nakunywa Alkasusu ya asali mbichi hapa maeneo ya chanika msumbiji huku nasubiri utupie ep inayofata [emoji1]Nahisi hao mademu Jamaa atapita nao wote mda c mrefu.
Madem wa kibrazil huwa hawana shida sana na watu weusi!!?
 
Tupia kitu mkuu[emoji39][emoji39]
Nakunywa Alkasusu ya asali mbichi hapa maeneo ya chanika msumbiji huku nasubiri utupie ep inayofata [emoji1]Nahisi hao mademu Jamaa atapita nao wote mda c mrefu.
Madem wa kibrazil huwa hawana shida sana na watu weusi!!?
😀😀😀
Wazee wa kula tunda kimasihara hatuchezi mbali
 
Tuliimaliza siku nzima tukiwa ndani ya maabara ile huku Catarina ambaye anaonekana kua ndio supervisor wa maabara hiyo alisisitiza kua nitakua bora kumzidi Javier. Alidai Javier ni mvivu sana, yupo makini kwenye misosi kuliko chochote.

Javier alikua akitabasamu kwa muda wote ambao Catarina akimsema, kwa maelezo ya Catarina ni kwamba Javier alikua mvivu sana linapokuja swala la kazi lakini alikua punctual sana wakati wa misosi.

Catarina alitumia muda huo kunionyesha sample za products zinazotolewa kwenye maabara hiyo. Kwenye ile meza kubwa kulikua na chombo ambacho ndani yake kulikua na sample kadhaa zimehifadhiwa.

Kwa maelezo ya Catarina, ni kwamba kwenye maabara hiyo wanatoa cocaine katika namna mbili tofauti tofauti ambazo ni:- cocaine hydrochloride na crack,

Cocaine hydrochloride ambayo ipo katika namnaa Fulani kama unga mweupe na matumizi yake yapo ya aina nyingi lakini njia pendwa ni kupitia injection (sindano) na snorting.

Crack hii ni namna nyingine ya mzigo unaozalishwa ndani ya maabara hii. Kwa muonekano inafanana na mapande ya chumvi ya mawe inapokua maabara, kawaida Ndani yake kuna mchanganyiko wa hydrochloride, ammonia au baking soda na maji.

Namna ya matumizi mara nyingi huvutwa kama kawaida. Huvutwa kwa kuchanganya na either bangi au sigara, mara nyingi huuzwa ikiwa kwenye solid state kisha mtumiaji anaenda kuisaga yeye mwenyewe kwa matumizi.


Sasa kulingana na wataalamu wa pharmacology cocaine hydrochloride na crack zote ni kitu kimoja ila kulingana na maabara hii kuna namna zimetenganishwa kama sample tofauti tofauti.

Kwenye zile sample zilipangwa kwa namna ya viwango vya quality lakini pia bei ya product inayozalishwa kwenye maabara hiyo.

Apa kwenye quality na bei hua tunaangalia ingredients (viungo) na level of purity (kiwango cha usafi) mzigo ukiwa na makapi mengi hupungua thamani pia.

Sasa kinacholeta makapi ni zile ingredients mfano nitroglycerin (gun powder) ambayo huwekwa kwa wingi kwenye Brown cocaine au Brown sugar kama wanavyoita watoto wa mjini, kiwango cha madhara kwa mtumiaji hutegemea na hizi ingredients pia.

Product ya kwanza iliitwa FISH SCALE COCAINE, hii ni pure cocaine ambayo purity level (viwango vya usafi) ni zaidi ya 90% yaani hakuna impurities kabisa kwenye mzigo huu na hii ndio cocaine ghali zaidi kwenye maabara hii. It is more powerful more expensive and harder to obtain hii yenyewe inang'aa sana kwa muonekano.

Product ya pili ilikua ni BROWN COCAINE ambayo ilikua ni mchanganyiko wa cocaine, amphetamine na nitroglycerin (gunpowder). Huu ni mchanganyo hatari zaidi kwani unaweza kupelekea mtumia kupatwa na madhara kama heart attack au stroke. Ile rangi wa Brown husababishwa na kuwepo kwa gunpowder kwenye mchanganyo huo.

Product ya tatu kuzalishwa kwenye maabara ile kulingana na maelezo ya Catarina ilikua ni CRACK COCAINES, hii kama nilivyoielezea hapo awali kama inafanana na crystals sometimes kama chumvi ya mawe.

Hii ndio low purity form of cocaine ( ina makapi mengi) viwango vya usafi ni sifuri kabisa kwani ndani yake kuna baking soda, maji na uchafu mwingine mwingi. Kawaida inakua na muonekano wa njano au brown inasemekana kua more addictive ukilinganisha na nyingine.

Catarina alinifundisha mambo mengi sikuile mwisho wa siku kichwa kilichoka sana kwani baada ya kugundua uwezo wangu alitaka tumalize ile orientation ndani ya siku moja.

Wakati naendelea na Catarina, Javier na Manuela walikua bize kusafisha baadhi ya apparatus kwani ilionekana siku inayofata kutakua na kazi kubwa. Nilichogundua kufanya kazi ndani ya ile maabara nilitakiwa nishukuru sana kwani hakukua na majukumu mazito ukilinganisha na wale wa mashambani.

Ila kuwepo maabara tatizo ni moja tu, kuwa teja ni kugusa hivyo nilidhamiria kuongea vizuri na Javier ili anielekeze ni kwa namna gani amefanikiwa katika hilo.

Tulitoka nje na Catarina kwa dhumuni la kunionyesha mazingira mengine ya nje ya jengo hilo la maabara. Nje hakukua na vitu vingi saaana zaidi ya sewage systems ambayo zilijengwa kwa mtindo wa kisasa zikitiririsha maji kwenye bonde hilo kuelekea mto haullaga.

Upande wa pili kuvuka sewage systems kulikua na jengo lingie refu lakini halikufikia lile la maabara kwa ukubwa. Jengo lile lilitumiwa kwa ajili ya packing ya mzigo uliokua tayari kusafirishwa, ni jengo ambalo lilikua na mfumo madhubuti wa umeme na hii ilimaanisha watu wa packing wakija hufanya kazi 24 hours.

Mazingira ya nje yalikua mazuri mno na nilivutiwa na kijani kibichi iliyotawalaa maeneo ya kuzunguka bonde lile. Kulikua na hewa safi na ya asili hakikaka taratibu nilijikuta nasahau dhiki za ile safari ya kufika hapo.

Nilimueleza Catarina hisia zangu juu ya uoto ule wa asili na hali ya hewa ya eneo lile. Catarina alitabasamu kwa muda kisha akaniambia kuwa miaka 10 nyuma eneo hilo lilikua bora kuliko hivi sasa.

Kwa maelezo ya Catarina ni kwamba maeneo ya kuzunguka bonde hilo kumekua na shughuli nyingi zinazopelekea (deforestation) ukataji wa miti. Hivyo hali ya hewa inabadilika taratibu sana tofauti na ilivyokua miaka ya nyuma. Aliendelea kusema kwamba wao ni miongoni mwa watu wanaopambana sana kuhakikisha mazingira ya eneo hilo yanatunzwa kwani wakulima wadogo wadogo ndio hufanya shughuli zao kienyeji bila kujali mazingira.

Kwa kuendelea kuchafua mazingira na kukata miti hovyo kungepelekea serikali ya Peru ku draw attention kwenye ukanda huo hivyo shughuli zao zingekua ngumu kuendelea.

Ilionekana wazi kuna viongozi wakubwa wa Peru na Bolivia wanajua au wanahusika na mashamba hayo ambayo yapo huko haullaga.

Nilimuuliza Catarina kuhusu soko la products zinazotolewa pale, bila kuchelewa alijibu kuwa wao hawahusiki kabisa na mambo ya soko kwani tayari kuna watu wa marketing ambao ndio wanajua kilakitu kuhusu soko.

Kikubwa anachojua yeye soko lao ni America ya kaskazini na ulaya na Asia wa uchache. Lakini pia alinionya kuendelea kuuliza maswali hovyo kama nitafanya hivyo kumuuliza kila mtu au kutaka kujua kila kitu kwa haraka naweza kuingia kwenye matatizo.

Bila shaka nilimuelewa Catarina anamaanisha nini, wakati wote huo nikiwa na Catarina alikua bize na sigara kwa kweli alikua mvutaji mkubwa. Nilihisi bado nahitaji kujua mengi kuhusu Catarina na Manuela nilikua kila nikimuangalia Catarina kuna kitu kinaniambia nahitaji kuendelea kuwa karibu zaid.

Sikuona haja ya kuendelea na maswali mengi zaidi kwani ata yeye alishanionya juu ya kuuliza maswali, ata hivyo kuuliza uliza maswali mengi haikua desturi yangu ila kuna muda nilitakiwa kufanya hivyo kutokana na ugeni wa mazingira hayo.

Baada ya muda alikuja bwana Javier akiwa na Manuela ambao wote kwa pamoja tuliungana kwenye meza moja iliyokua nje ya mazingira hayo na kuendelea na soga.

Wakati tunaendelea na stories, nilijiuliza ukiwa hapo mishahara tunalipwaje? Na matumizi tunafanyaje? Lakini baada ya kukumbuka onyo ya Catarina sikuona haja ya kuuliza hivyo nilitunza maswali yangu yote.

Niliamini Javier ndie mnyonge wangu ambae atajibu maswali yangu yote hapo baadae.

Nilijikuta nimekua na amani sana baada ya kuungana na kampani hiyo mpya kwenye maisha yangu. Javier alikua ana m-care sana Manuela ambaye mara zote nilipomuangalia usoni sura yake ilionekana wazi kama imebeba mengi mno.

Manuela alikua dhaifu mno kutokana na hali yake ya uteja, hauweza kufanya kazi yoyote ile iliyotumia nguvu hivyo Javier alipenda kuwa nae karibu na wanashirikiana mambo mengi.

Kwa haraka niligundua Catarina alikua na control kubwa kwenye maisha ya Manuela kwani yeye ndio aliamua ni muda gani wa Manuela wa sniff (kunusa cocaine) na ni kiasi gani ampe.

Kitendo cha Manuela kuwepo maabara pale ndio kilimpa favor ya kutumia high purity and expensive cocaine. Lakini kama angetumia aina nyingine ambazo zinakua contaminated kwa kiasi kikubwa asinge kua pale mpaka muda huo kwani alitumia kwa kiasi kikubwa sana.


Tukiwa pale tunaendelea na mazungumzo, niligundua kitu tofauti kutoka kwa Manuela kwani alikua kimya sana.

Alianza kutapika mfululizo huku akiwa anatokwa jasho jingi mno kiasi kwamba t-shirt yake yote ililowa. Aliporudi tulipokua tumeketi alionekana kutetemeka especially Upande wa mikono yote ilikua inatetemeka.

Catarina alinyanyuka na kuelekea Upande wa pili wa maabara hiyo na kuingia kwenye kamsitu kadogo jirani na maabara ile.

Javier alisema kinachomtokea Manuela ni arosto hivyo Catarina alikua anaenda kwenye ghetto lao kwa ajili ya kuchukulia unga ili arudi kwenye equilibrium. Catarina ndio alikua anajua dozi ya rafiki ake huyo na alifanya hivyo kwani angempa uhuru wa kutumia anavyotaka ingekua hatari.
Ingekua hatari sana kwakua upatikanaji wa dawa hizo kwa eneo hilo ulikua mrahisi sana hivyo ingeweza kumpelekea overdose na mpaka kufa.

Mabinti hawa wawili walikua wanaishi nyumba moja ambayo ilikua karibu kabisa na maabara hiyo pembezoni mwa mto. Nyumba ile ilijengwa kwa mbao lakini hii ya kwao ilikua tofauti na zile za kule kwetu tunapokaa mimi na bwana Javier.

Hii ilikua na viwango vya juu at least ukilinganisha na zote kwenye eneo hilo. Sababu kubwa ya umalidadi wa jengo hilo lililokua linakaliwa na Catarina na mwenzie emanuela, lilikua pia linatumiwa kama stores ya products zote zinazotokea maabara kwa ajili ya kusafirishwa.

Baada ya muda Catarina alirudi akiwa ameshika kitu mkononi na kumpatia Manuela, Manuela alipokea kwa pupa sana na kisha akatokomea upande mwingine kutoka pale tulipokua tumekaa.
Upande alioelekea ni ule upande uliokua na jengo la pili linalotumiwa na baadhi ya watu ambao huletwa apo kwa ajili ya packaging.

Watu wa packing wanakua wapo special na hufika apo baada ya kua maabara imekamilisha tayari mzigo. Na wao huandaa mzigo huo kwa ajili ya kusafirishwa, mara nyingi mzigo huo hupimwa kabla ya packaging na muhusika mkuu apa anakuaga Miguel pamoja na Daniel wao ndio huratibu mchakato huu.

Sababu ya kupimwa mzigo kabla ya packing ni kutafuta uhalisia wa kiwango kilichozalishwa kutoka maabara na mzigo uliosafirishwa kuwafikia watu wa marketing.

Kwa wastani ni kuwa kg 400 za majani ya koka (coca leaves) zinatumika kuzalisha kilo moja (1) ya coca paste na wakati huo huo inaweza kuzalisha kg 0.5 cocaine hydrochloride.
Mara nyingi wanaotumika kupack mzigo baada ya kua umepimwa wanakua ni wadada special ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo. Wadada hao hutokea jiji moja linaitwa Lima na wengine hutokea Arequipa.

Kwa stories za javier ni kwamba hao wadada wanakuaga ni warembo sana kwakua nipo hapo nitawaona siku mzigo ukiwa tayari.

Hivyo basi mara nyingi kama watu hao wa packing hawapo ndipo Manuela hupenda kulitumia eneo hilo tulivu kwa ajili ya shughuli zake za sniffing.

Bwana Javier ni moja ya watu waliofurahia uwezo wangu kwani ilionekana ninaenda kubeba majukumu mengi na kumpunguzia sehemu kubwa ya majukumu yake.

0623329512 Whatsapp

NB: Wanaoisomea kwa whatapp wapo mbele zaidi
(2000 wanalipia kwa simulizi yote)
 
Kwa wastani ni kuwa kg 400 za majani ya koka (coca leaves) zinatumika kuzalisha kilo moja (1) ya coca paste na wakati huo huo inaweza kuzalisha kg 0.5 cocaine hydrochloride.

Kumbe ndio mana unga una bei sana.
Asante Mkuu kwa simulizi tamu zenye kuelimisha.
Hapo lazima miti itakatwa ili watu watengeneze pesa
 
Tuliimaliza siku nzima tukiwa ndani ya maabara ile huku Catarina ambaye anaonekana kua ndio supervisor wa maabara hiyo alisisitiza kua nitakua bora kumzidi Javier. Alidai Javier ni mvivu sana, yupo makini kwenye misosi kuliko chochote.

Javier alikua akitabasamu kwa muda wote ambao Catarina akimsema, kwa maelezo ya Catarina ni kwamba Javier alikua mvivu sana linapokuja swala la kazi lakini alikua punctual sana wakati wa misosi.

Catarina alitumia muda huo kunionyesha sample za products zinazotolewa kwenye maabara hiyo. Kwenye ile meza kubwa kulikua na chombo ambacho ndani yake kulikua na sample kadhaa zimehifadhiwa.

Kwa maelezo ya Catarina, ni kwamba kwenye maabara hiyo wanatoa cocaine katika namna mbili tofauti tofauti ambazo ni:- cocaine hydrochloride na crack,

Cocaine hydrochloride ambayo ipo katika namnaa Fulani kama unga mweupe na matumizi yake yapo ya aina nyingi lakini njia pendwa ni kupitia injection (sindano) na snorting.

Crack hii ni namna nyingine ya mzigo unaozalishwa ndani ya maabara hii. Kwa muonekano inafanana na mapande ya chumvi ya mawe inapokua maabara, kawaida Ndani yake kuna mchanganyiko wa hydrochloride, ammonia au baking soda na maji.

Namna ya matumizi mara nyingi huvutwa kama kawaida. Huvutwa kwa kuchanganya na either bangi au sigara, mara nyingi huuzwa ikiwa kwenye solid state kisha mtumiaji anaenda kuisaga yeye mwenyewe kwa matumizi.


Sasa kulingana na wataalamu wa pharmacology cocaine hydrochloride na crack zote ni kitu kimoja ila kulingana na maabara hii kuna namna zimetenganishwa kama sample tofauti tofauti.

Kwenye zile sample zilipangwa kwa namna ya viwango vya quality lakini pia bei ya product inayozalishwa kwenye maabara hiyo.

Apa kwenye quality na bei hua tunaangalia ingredients (viungo) na level of purity (kiwango cha usafi) mzigo ukiwa na makapi mengi hupungua thamani pia.

Sasa kinacholeta makapi ni zile ingredients mfano nitroglycerin (gun powder) ambayo huwekwa kwa wingi kwenye Brown cocaine au Brown sugar kama wanavyoita watoto wa mjini, kiwango cha madhara kwa mtumiaji hutegemea na hizi ingredients pia.

Product ya kwanza iliitwa FISH SCALE COCAINE, hii ni pure cocaine ambayo purity level (viwango vya usafi) ni zaidi ya 90% yaani hakuna impurities kabisa kwenye mzigo huu na hii ndio cocaine ghali zaidi kwenye maabara hii. It is more powerful more expensive and harder to obtain hii yenyewe inang'aa sana kwa muonekano.

Product ya pili ilikua ni BROWN COCAINE ambayo ilikua ni mchanganyiko wa cocaine, amphetamine na nitroglycerin (gunpowder). Huu ni mchanganyo hatari zaidi kwani unaweza kupelekea mtumia kupatwa na madhara kama heart attack au stroke. Ile rangi wa Brown husababishwa na kuwepo kwa gunpowder kwenye mchanganyo huo.

Product ya tatu kuzalishwa kwenye maabara ile kulingana na maelezo ya Catarina ilikua ni CRACK COCAINES, hii kama nilivyoielezea hapo awali kama inafanana na crystals sometimes kama chumvi ya mawe.

Hii ndio low purity form of cocaine ( ina makapi mengi) viwango vya usafi ni sifuri kabisa kwani ndani yake kuna baking soda, maji na uchafu mwingine mwingi. Kawaida inakua na muonekano wa njano au brown inasemekana kua more addictive ukilinganisha na nyingine.

Catarina alinifundisha mambo mengi sikuile mwisho wa siku kichwa kilichoka sana kwani baada ya kugundua uwezo wangu alitaka tumalize ile orientation ndani ya siku moja.

Wakati naendelea na Catarina, Javier na Manuela walikua bize kusafisha baadhi ya apparatus kwani ilionekana siku inayofata kutakua na kazi kubwa. Nilichogundua kufanya kazi ndani ya ile maabara nilitakiwa nishukuru sana kwani hakukua na majukumu mazito ukilinganisha na wale wa mashambani.

Ila kuwepo maabara tatizo ni moja tu, kuwa teja ni kugusa hivyo nilidhamiria kuongea vizuri na Javier ili anielekeze ni kwa namna gani amefanikiwa katika hilo.

Tulitoka nje na Catarina kwa dhumuni la kunionyesha mazingira mengine ya nje ya jengo hilo la maabara. Nje hakukua na vitu vingi saaana zaidi ya sewage systems ambayo zilijengwa kwa mtindo wa kisasa zikitiririsha maji kwenye bonde hilo kuelekea mto haullaga.

Upande wa pili kuvuka sewage systems kulikua na jengo lingie refu lakini halikufikia lile la maabara kwa ukubwa. Jengo lile lilitumiwa kwa ajili ya packing ya mzigo uliokua tayari kusafirishwa, ni jengo ambalo lilikua na mfumo madhubuti wa umeme na hii ilimaanisha watu wa packing wakija hufanya kazi 24 hours.

Mazingira ya nje yalikua mazuri mno na nilivutiwa na kijani kibichi iliyotawalaa maeneo ya kuzunguka bonde lile. Kulikua na hewa safi na ya asili hakikaka taratibu nilijikuta nasahau dhiki za ile safari ya kufika hapo.

Nilimueleza Catarina hisia zangu juu ya uoto ule wa asili na hali ya hewa ya eneo lile. Catarina alitabasamu kwa muda kisha akaniambia kuwa miaka 10 nyuma eneo hilo lilikua bora kuliko hivi sasa.

Kwa maelezo ya Catarina ni kwamba maeneo ya kuzunguka bonde hilo kumekua na shughuli nyingi zinazopelekea (deforestation) ukataji wa miti. Hivyo hali ya hewa inabadilika taratibu sana tofauti na ilivyokua miaka ya nyuma. Aliendelea kusema kwamba wao ni miongoni mwa watu wanaopambana sana kuhakikisha mazingira ya eneo hilo yanatunzwa kwani wakulima wadogo wadogo ndio hufanya shughuli zao kienyeji bila kujali mazingira.

Kwa kuendelea kuchafua mazingira na kukata miti hovyo kungepelekea serikali ya Peru ku draw attention kwenye ukanda huo hivyo shughuli zao zingekua ngumu kuendelea.

Ilionekana wazi kuna viongozi wakubwa wa Peru na Bolivia wanajua au wanahusika na mashamba hayo ambayo yapo huko haullaga.

Nilimuuliza Catarina kuhusu soko la products zinazotolewa pale, bila kuchelewa alijibu kuwa wao hawahusiki kabisa na mambo ya soko kwani tayari kuna watu wa marketing ambao ndio wanajua kilakitu kuhusu soko.

Kikubwa anachojua yeye soko lao ni America ya kaskazini na ulaya na Asia wa uchache. Lakini pia alinionya kuendelea kuuliza maswali hovyo kama nitafanya hivyo kumuuliza kila mtu au kutaka kujua kila kitu kwa haraka naweza kuingia kwenye matatizo.

Bila shaka nilimuelewa Catarina anamaanisha nini, wakati wote huo nikiwa na Catarina alikua bize na sigara kwa kweli alikua mvutaji mkubwa. Nilihisi bado nahitaji kujua mengi kuhusu Catarina na Manuela nilikua kila nikimuangalia Catarina kuna kitu kinaniambia nahitaji kuendelea kuwa karibu zaid.

Sikuona haja ya kuendelea na maswali mengi zaidi kwani ata yeye alishanionya juu ya kuuliza maswali, ata hivyo kuuliza uliza maswali mengi haikua desturi yangu ila kuna muda nilitakiwa kufanya hivyo kutokana na ugeni wa mazingira hayo.

Baada ya muda alikuja bwana Javier akiwa na Manuela ambao wote kwa pamoja tuliungana kwenye meza moja iliyokua nje ya mazingira hayo na kuendelea na soga.

Wakati tunaendelea na stories, nilijiuliza ukiwa hapo mishahara tunalipwaje? Na matumizi tunafanyaje? Lakini baada ya kukumbuka onyo ya Catarina sikuona haja ya kuuliza hivyo nilitunza maswali yangu yote.

Niliamini Javier ndie mnyonge wangu ambae atajibu maswali yangu yote hapo baadae.

Nilijikuta nimekua na amani sana baada ya kuungana na kampani hiyo mpya kwenye maisha yangu. Javier alikua ana m-care sana Manuela ambaye mara zote nilipomuangalia usoni sura yake ilionekana wazi kama imebeba mengi mno.

Manuela alikua dhaifu mno kutokana na hali yake ya uteja, hauweza kufanya kazi yoyote ile iliyotumia nguvu hivyo Javier alipenda kuwa nae karibu na wanashirikiana mambo mengi.

Kwa haraka niligundua Catarina alikua na control kubwa kwenye maisha ya Manuela kwani yeye ndio aliamua ni muda gani wa Manuela wa sniff (kunusa cocaine) na ni kiasi gani ampe.

Kitendo cha Manuela kuwepo maabara pale ndio kilimpa favor ya kutumia high purity and expensive cocaine. Lakini kama angetumia aina nyingine ambazo zinakua contaminated kwa kiasi kikubwa asinge kua pale mpaka muda huo kwani alitumia kwa kiasi kikubwa sana.


Tukiwa pale tunaendelea na mazungumzo, niligundua kitu tofauti kutoka kwa Manuela kwani alikua kimya sana.

Alianza kutapika mfululizo huku akiwa anatokwa jasho jingi mno kiasi kwamba t-shirt yake yote ililowa. Aliporudi tulipokua tumeketi alionekana kutetemeka especially Upande wa mikono yote ilikua inatetemeka.

Catarina alinyanyuka na kuelekea Upande wa pili wa maabara hiyo na kuingia kwenye kamsitu kadogo jirani na maabara ile.

Javier alisema kinachomtokea Manuela ni arosto hivyo Catarina alikua anaenda kwenye ghetto lao kwa ajili ya kuchukulia unga ili arudi kwenye equilibrium. Catarina ndio alikua anajua dozi ya rafiki ake huyo na alifanya hivyo kwani angempa uhuru wa kutumia anavyotaka ingekua hatari.
Ingekua hatari sana kwakua upatikanaji wa dawa hizo kwa eneo hilo ulikua mrahisi sana hivyo ingeweza kumpelekea overdose na mpaka kufa.

Mabinti hawa wawili walikua wanaishi nyumba moja ambayo ilikua karibu kabisa na maabara hiyo pembezoni mwa mto. Nyumba ile ilijengwa kwa mbao lakini hii ya kwao ilikua tofauti na zile za kule kwetu tunapokaa mimi na bwana Javier.

Hii ilikua na viwango vya juu at least ukilinganisha na zote kwenye eneo hilo. Sababu kubwa ya umalidadi wa jengo hilo lililokua linakaliwa na Catarina na mwenzie emanuela, lilikua pia linatumiwa kama stores ya products zote zinazotokea maabara kwa ajili ya kusafirishwa.

Baada ya muda Catarina alirudi akiwa ameshika kitu mkononi na kumpatia Manuela, Manuela alipokea kwa pupa sana na kisha akatokomea upande mwingine kutoka pale tulipokua tumekaa.
Upande alioelekea ni ule upande uliokua na jengo la pili linalotumiwa na baadhi ya watu ambao huletwa apo kwa ajili ya packaging.

Watu wa packing wanakua wapo special na hufika apo baada ya kua maabara imekamilisha tayari mzigo. Na wao huandaa mzigo huo kwa ajili ya kusafirishwa, mara nyingi mzigo huo hupimwa kabla ya packaging na muhusika mkuu apa anakuaga Miguel pamoja na Daniel wao ndio huratibu mchakato huu.

Sababu ya kupimwa mzigo kabla ya packing ni kutafuta uhalisia wa kiwango kilichozalishwa kutoka maabara na mzigo uliosafirishwa kuwafikia watu wa marketing.

Kwa wastani ni kuwa kg 400 za majani ya koka (coca leaves) zinatumika kuzalisha kilo moja (1) ya coca paste na wakati huo huo inaweza kuzalisha kg 0.5 cocaine hydrochloride.
Mara nyingi wanaotumika kupack mzigo baada ya kua umepimwa wanakua ni wadada special ambao wapo kwa ajili ya kazi hiyo. Wadada hao hutokea jiji moja linaitwa Lima na wengine hutokea Arequipa.

Kwa stories za javier ni kwamba hao wadada wanakuaga ni warembo sana kwakua nipo hapo nitawaona siku mzigo ukiwa tayari.

Hivyo basi mara nyingi kama watu hao wa packing hawapo ndipo Manuela hupenda kulitumia eneo hilo tulivu kwa ajili ya shughuli zake za sniffing.

Bwana Javier ni moja ya watu waliofurahia uwezo wangu kwani ilionekana ninaenda kubeba majukumu mengi na kumpunguzia sehemu kubwa ya majukumu yake.

0623329512 Whatsapp

NB: Wanaoisomea kwa whatapp wapo mbele zaidi
(2000 wanalipia kwa simulizi yote)
Wewe na mcTobby mna namna fulani ya uandishi uliokosekana muda mrefu nchini.

Kuna sehemu ndogo ndogo za sarufi ambapo koutamaduni hapo baadaye uwe unawatumia wahariri kurekebisha. Kwa mfano neno kuludi lisomeke kurudi ama kurejea.

Ni makosa ya kisarufi ambayo wengi tunayafanya lakini ukitumia jicho la mtu mwingine ni rahisi kung'amua na kuweka marekebisho.

Hongera sana mkuu
 
SEHEMU YA 03

Nyumba ya Ras ilikua kubwa kiasi kwamba inaweza accommodate zaidi ya familia tano kwa wakati mmoja lakini nilishangaa kwanini anaishi peke ake. Ukaribu wa fukwe pia uliifanya mandhari ya nyumba hiyo kuzidi kua ya kupendeza na kumfurahisha yoyote ambae angeishi ndani ya nyumba hiyo. Ilikua ni mara yangu ya kwanza kulala sehemu nzuri kama ile, lakini pia niliamini kuna shughuli nyingine Ras anafanya inamwingizia kipato kikubwa zaidi ya kile kama sihivyo basi atakua na ushirika na mtu mwingine.

Baada ya mapumziko mafupi aliniamsha na kuniambia tutoke kuna wageni anatakiwa kuwafata na hawezi niacha ndani humo peke angu.

Safari hii tulitoka na gari nyingine aina ya alphard na uelekeo ulikua ni kariakoo tuliingia mtaa mmoja ambao aliniambia unaitwa aggrey. Pale nilinunuliwa simu aina ya iphone 6's na ile simu ndogo niliyokadhiwa na Merry aliichukua yeye, kuna namna Ras hakua ameniamini sana ndio maana hajawahi kuniacha peke angu na alionekana kusimamia mawasiliano yangu yote.

Baada ya hapo tulifanya shopping ndogo ya nguo na kisha tukaanza safari ambayo tulikua tunaelekea kigamboni kupokea wageni. Tulivuka ferry na baada ya kufika upande wa pili tuliendelea barabara iliyonyoosha moja kwa moja, kutokana na ugeni wangu sikujua tunapoelekea lakini nakumbuka tulitumia zaidi ya saa nzima tukiwa barabara ya vumbi.

Baadae tulipita sehemu moja inaitwa kichangani. Baada tena ya mwendo nilishangaa kuona kama uwanja mdogo wa ndege ila haikua tabia yangu kuuliza uliza maswali. Lakini hadi leo najiulizaga sana maswali kuhusu uwepo wa uwanja ule wa ndege mdogo kigamboni.

Ras anaijua dar es salaam kila Kona, kuwa nae kwa zile siku kadhaa nilijikuta nafahamu mengi sana. Likiwemo hili la kukuta kiwanja cha ndege kwenye kapori huko kigamboni maana kwa kipindi kile kigamboni ilikua bado sana sijui kwa sasa ipoje. Na nina uhakika kile kilikua ni kiwanja cha ndege japo sina uzoefu na usafiri huo wa ndege.

Tulitembea kwa kitambo kidogo tukatokea kwenye fukwe nzuri iliyokua imetulia sana huku gari tukiwa tumeiacha umbali wa kama mita 200. Ras hakua mtu wa story sana muda mwingi alikua na sigara ya embassy mdomoni.

Tukiwa fukwe ilikuja boat ndogo na kushusha majitu manne makubwa ya kizungu ambayo yalikua na miili iliyojengeka kwa mazoezi. Miili hiyo ilikua imefunikwa na tattoo mpaka maeneo ya shingo, njemba hizi za kizungu zilikua zimevalia overoll kubwa za rangi ya carrot zikiwa na maandishi mgongoni yameandikwa MAERSK

Hizi njemba zilikua zinapiga kile kingereza cha kimarekani huku Ras alikua ana kizungu chake cha kawaida sana. Nilitumia fursa hiyo kuonyesha kingereza changu cha PCM, lakini kilikua bora kuliko kile cha Ras na Ras alionekana kulifahamu hilo sema kilichompa Ras confidence ni ile kuonana nao mara kwa mara watu wa aina hii.

Ilikua ni mara yangu ya kwanza kukutana na mzungu ambae hajui kiswahili kabisa hivyo siku ilikua ndefu mno. Niligundua jambo moja kwenye uzungumzaji wa kingereza, yaan kama sio mzoefu wa lugha ile basi ukizungumza mda mrefu namaanisha ukitumia saa nzima, kuna njaa ya ajabu na uchovu vita kupata.

Tulisogea mpaka maeneo tuliyokua tume park usafiri na kuanza safari ya kuelekea kijichi. Ndani ya gari kulikua na boxes za Heineken za kutosha jamaa wale walionekana ni watumiaji wazuri wa Heineken hizo. Nikishangaa kuona mmoja wao alikua na radiocall kwenye mfuko wa over roll lake, hiki kitu kiliniacha na maswali mengi sana japo nilishindwa kumuuliza bro Ras.

Baada ya kufika home kijichi jamaa walishuka na kwenda kupata maji kwanza ili miili ikae sawa, na muda huu Ras aliniambia hao ni moja ya washkaji zake ambao alijuana nao kwenye kazi yake ya hapo awali. Hivyo wale jamaa walikua ni mabaharia, asee!!!!! Watoto wa dar wanaojiita mabaharia ni kwamba hawawafahamu tu hao mabaharia wanafananaje!.

Laiti wangewafahamu wangeacha mara moja, kwa haraka niligundua hao jamaa walionekana kutokua hata na hofu ya mungu. Kwa maelezo ya Ras alisema mabaharia ya Maersk na MSC na wale wa meli za kirusi (Russia) wengi ni ma giant ukilinganisha na wale mabaharia ya kifilipino.
Lakini pia kuna meli ndogo za mombasa na Zanzibar zenyewe mabaharia wake ni wabantu wakawaida kama sisi.

Ras aliniuliza kama nipo vizuri kwenye driving, kiukweli nilikua dereva lakini sio kwenye jiji lenye magari mengi kama dar. Udereva wangu ulikua ni kwenye migomba huko moshi kwa kutumia land Rover 110 la Mzee massawe. Nilitamani kuendesha gari dar lakini iwe usiku swala hili lilimchekesha sana Ras.
Ras aliishia kunipa funguo za alphard na kunipa namba ya simu ya mtu ambaye natakiwa kumfuata maeneo ya sinza.

Nilifika sinza kwa mbinde sana ambapo nilikuta timu ya mabinti wazuri nane hivi, nilimkabidhi gari mmoja wapo ambae alikua ni dereva pia ili atuludishe tena kijichi upande wangu niliona changamoto nyingi sana akati nakuja apo sinza.

Baada ya kufika ndani na wale mabinti, nyumba ili badilika kabisa na kua kama casino pombe na unga vilivutwa kwa kwa wingi huku ngono za threesome waziwazi. Nilienda kukaa nje nikipoteza muda kwa kuvuta weed niliyokua nayo mfukoni sikuwa mpenzi wa pombe kwa wakati huo.

Nikiwa nje baharia mmoja alikuja kukaa nami na alijitambulisha kwa jina la McKenzie, swali lake la kwanza ni kwanini nilikua nje kwa wakati huo kwani ndani kulikua na simple Houseparty.
Aliuza je mimi ni Christian ambae sifurahishwi na kalamu za kishetani?


Nilimjibu kama naweza kushiriki lakini wanawake waliokuwepo hawakunivutia kabisa kwani nilihitaji wadada slim na sio BBW kama waliofika hapo. McKenzie alicheka sana kwa upande wake alisema mashine imegoma kabisa kusimama hivyo anahitaji more of cocaine na hewa safi ndipo ataludi ndani.

Tuliongea mengi lakini aliuliza ukaribu wangu na Ras, nilimjibu Ras ni brother wangu baada ya muda Ras alifika na misosi ambayo bila shaka ilikua ni pork. Hawa jamaa wanapenda nguruwe sana na wakija bongo wanapendelea nguruwe wa kienyeji hivyo Ras anamachimbo yake ambapo anachukulia nyama hiyo akijua kama ana ugeni wa namna hiyo.

McKenzie alimfata Ras wakateta kwa muda wa dakika kama 10 kisha McKenzie akaludi ndani kuendelea na ufuska wao.
Walitumia siku nzima kunywa kuvuta na ngono ya hovyohovyo kama mbuzi vile na mimi nilipewa binti mmoja wakunisindikizia siku. Mabinti wa sinza washenzi sana, nilikuja kustuka chuma iko rough road inakata tope la kutosha.

All in all siku iliisha vizuri japo sikumbuki nililala saa ngapi, ila wakati naamka sikukuta mtu ndani na ilikua jioni ya siku ya pili.
Jioni hiyo Ras alilud na kuanza kunipa stories za Peru kwenye mashamba ya koka, akidai McKenzie aliona nafaa sana kwenda huko kama nitakua tayari amjulishe yeye ata ratibu kila kitu kuhusu safari yangu.

HUU NDIO ULIKUA MWANZO WA SAFARI YA SOUTH AMERICA tukutane baadae ilikujua niliishi vipi uko.
Beb moneytalk upite hapa
 
Back
Top Bottom