Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Subiri mwakani utajua mjinga ni nani. Mwakani siyo mbali tanzania inakwenda kuifuta Kenya kwenye ramani ya duniatatizo la danganyika kila mtu ni mjinga,nchi linaongozwa na giza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri mwakani utajua mjinga ni nani. Mwakani siyo mbali tanzania inakwenda kuifuta Kenya kwenye ramani ya duniatatizo la danganyika kila mtu ni mjinga,nchi linaongozwa na giza
Wewe hujiulizi hapo $54b dhidi ya Tanzania yote ambayo ni 60$ tofauti ni chenji ya bwenyenye mmoja...
Yaani Tanzania yote nchi zote mbili mpaka visiwani uunganishe uchumi wote ndio unatoshana na Nairobi, aibu iliyoje, tatizo lenu uzembe, mna kila kitu cha kuwawezesha muongoze Afrika yote kiuchumi, sema uvivu, hupewi vyote, unapewa raslimali unanyimwa akili na uwezo wa kujituma.
Au upewe kainchi kama ketu ambako zaidi ya nusu yake ni kame tupu lakini uongezewe akili na uwezo wa kujituma.
Wewe subiri mwakani tu uone .na kufikia uchaguzi wa Kenya 2022 mtajuta kuifahamu Tanzania huo ndiyo utakuwa mwanzo mchungu Kwa wakikuyu Kenya kila kila goti la mkikuyu litapigwa kwa fz
siku ukija kujua uchumi halisi ni kitu gani utajilaumu ujinga uliokuwa nao miaka yote.Wimbo wa subiri uliimbwa hadi na mababu zenu na hadi leo pengo la uchumi baina yetu linazidi kuongezeka, karibu tunawapiga double.
Kwani mwakani kila Mtanzania atamea mabawa na kuruka angani kama ndege? Usitutishe na upuzi.Subiri mwakani utajua mjinga ni nani. Mwakani siyo mbali tanzania inakwenda kuifuta Kenya kwenye ramani ya dunia
Ni GDP sio DC. Cheki huyu confused element.siku ukija kujua uchumi halisi ni kitu gani utajilaumu ujinga uliokuwa nao miaka yote.
hiyo DC isiyoweza hata kujenga reli km 50 ni DC ya kwenye umeme.[emoji3][emoji3]
keep on kupanuwa.
Kama siyo sisi kuwaokoeni msichinjane kwenyd uchaguzi Leo Kenya ingekuwa historiaWimbo wa subiri uliimbwa hadi na mababu zenu na hadi leo pengo la uchumi baina yetu linazidi kuongezeka, karibu tunawapiga double.
We subiri tu hadi uchaguzi wa Kenya ukifika ndiyo mwisho wa mkikuyu kushika nchiKwani mwakani kila Mtanzania atamea mabawa na kuruka angani kama ndege? Usitutishe na upuzi.
Kwani kabila lingine likiingia madarakani ndio Kenya itakufa?We subiri tu hadi uchaguzi wa Kenya ukifika ndiyo mwisho wa mkikuyu kushika nchi
soma kwa utulivu tafadhali.mbona unakuwa kama kuku aisee[emoji16][emoji16][emoji16]Ni GDP sio DC. Cheki huyu confused element.
ulitaka unitukane ama?Comment yangu imefutwa na Mods. Ilikuwa imemlenga kifusi boy ambaye ametokwa na povu humu sana.
Nilikuwa nishafanya hivyo mkuu lakini Mods leo hawataki masihara.ulitaka unitukane ama?
NYIE MMELIPA DENI LA MKULIMA AMA BADO ATCL LIMESHIKILIWA HUKO SAUS
Kwani kabila lingine likiingia madarakani ndio Kenya itakufa?
Nishamripoti huyo!Dah! Sio kawaida yako, hapa umefikishwa penyewe, ila bro ndio hivyo ilivyo, bado mna safari sana kabla kunusia nyuma ya Kenya.
Nmetumia neno 'nyuma' kama euphemism maana bila kuwa makini ban tutalishwa humu.
Ukishafaham itakusaidia nn?Ulifika darasa la ngapi?
Says an "EvilSpirit" 😅Dar the city of angels,nairobi the city of demons