Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Sasa hela mbona itakosa maana hapo.[emoji23][emoji23]
kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe