kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe
Anaoza akiwa mwenyewe au anamshirikisha na mkeweKuna mmoja yuko igamba mbozi songwe yeye sharti lake ni anakufa kwa siku 7 anaoza hadi mafunza,sasa akifufuka hapo baada ya mwezi fuso inachanwa karatasi mupya iyoo!
Sasa hiyo ya kuoza unafanya mwenyewe au unamshirikisha mtu, na unafufukaje kwa mfano?Mleta Mada Thread Unayoianzisha
Imejadiliwa Humu Kwa Kina Sana Mpaka Maeneo Wanakopatikana Wataalam Kama Iringa, Tunduma
Kuna Utajiri Wa Kuoza Baada Ya Kufa Kimiujiza Na Kutoka Funza. Ipo Tunduma Ya Jogoo Kula Punje Za Mahindi
Akila Punje 50 Utakuwa Tajiri Miaka 50 HalafuUnakufa
Mfano ale punje moja
Mfano ale punje moja
[/QUOTE
Shida sio utajiri, shida ni kuambiwa huruhusiwi kumbatoKwisha habari yako.
Ila miaka ikiwa michache utajiri nao unakuwa mkubwa.
Mfano akila 7 na kwa mwingine ale punje 20
Huyu wa saba atakuwa tajiri mno kumzidi wa 20.
Mke lazima ashirikishwe na awe msiri na kazi yake inakuwa kufagia funza waleAnaoza akiwa mwenyewe au anamshirikisha na mkewe
Sasa hiyo ya kuoza unafanya mwenyewe au unamshirikisha mtu, na unafufukaje kwa mfano?
Hahaha hahahaUmeisha!!! Badala ya furaha itakuwa kilio. Bora kuishi miaka 30 maskini kuliko kuishi mwaka mmoja tajiri. Its a waste of life
Wanasema Unaoza Mwenyewe ChumbaniAnaoza akiwa mwenyewe au anamshirikisha na mkewe
Sasa hiyo ya kuoza unafanya mwenyewe au unamshirikisha mtu, na unafufukaje kwa mfano?
Hiyo ya kujihesabia siku za kuishi hapana jamaniKwisha habari yako.
Ila miaka ikiwa michache utajiri nao unakuwa mkubwa.
Mfano akila 7 na kwa mwingine ale punje 20
Huyu wa saba atakuwa tajiri mno kumzidi wa 20.
Alijiua alafu akawa na ukwasi?Kuna jamaa huku kwetu ni tajiri wa hivyo na alipewa sharti la kujiua na alipofanikisha akawa na ukwasi sana.
Kuna namna ya kuweza Ku renew au ku update huo mkataba?Kwisha habari yako.
Ila miaka ikiwa michache utajiri nao unakuwa mkubwa.
Mfano akila 7 na kwa mwingine ale punje 20
Huyu wa saba atakuwa tajiri mno kumzidi wa 20.
[emoji28]kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe
Ndiyo mkuu.Alijiua alafu akawa na ukwasi?
Inakuwaje kama umebakisha miaka 20 tu ya kuishi?Mleta Mada Thread Unayoianzisha
Imejadiliwa Humu Kwa Kina Sana Mpaka Maeneo Wanakopatikana Wataalam Kama Iringa, Tunduma
Kuna Utajiri Wa Kuoza Baada Ya Kufa Kimiujiza Na Kutoka Funza. Ipo Tunduma Ya Jogoo Kula Punje Za Mahindi
Akila Punje 50 Utakuwa Tajiri Miaka 50 HalafuUnakufa
Hapo Sasa Ndiyo Kama BettingInakuwaje kama umebakisha miaka 20 tu ya kuishi?
hakuna kitu kama hichoKuna namna ya kuweza Ku renew au ku update huo mkataba?
Hiyo ya kujihesabia siku za kuishi hapana jamani
Shida sio utajiri, shida ni kuambiwa huruhusiwi kumbato
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.hakuna kitu kama hicho
Amen[emoji3][emoji3][emoji3]baki na ufukara wako