Utajiri wa ndagu

Hahaha hahaha hahaha
Hiyo ni mbaya sana jamanii... Punje moja tuu ukitoka hapo unaanza kuhesabia siku
Kwanini usile matembele kwa amani kuliko kula vyuku kwa wasiwasi?
 
Jamani nimekuwa nikisikia kuhusu hili swala la utajiri wa ndagu. Unapata utajiri wa kutupwa kwa masharti magumu. Kama Kuna mtu anayafamu vizuri haya mambo naomba anielekeze niishi maisha ya kifalme.
Hivi utajiri upi usurp na masharti magumu kupata utajiri rahisi sana changamoto kubaki kuwa tajiri
 
[emoji32][emoji32][emoji35][emoji56]
Iko mbinu ya kuwachanganya Mashetani unaenda kwa Mashekhe unasomewa Salat al-Janazah wakimaliza wanapiga Salat al-mayyit unakuwa ushazikwa huku unadunda.
Ila hapo hata Mbwa ukipita wanakaa kimyaa
 
Hapa nadhani inabidi uvizie siku ambayo huyo kuku ana njaa sana. Unamwomba mganga asimlishe kuku mpaka utakapoenda wewe kuchukua huo utajiri [emoji3]
Unakuta kuku mwenyewe ni sharobalo hatari..anakula robo punje tu afu anakuangalia na kukucheka kwa dharau
 
kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe
Kama sharti ndio hilo acha nibaki maskini
 
Sasa hizo pesa za nini?
kuna mmoja arusha alienda kuchukua hela ya ndagu, karatu akapata hela sana kwa sharti mashine isisimame mpaka siku atakapo uchoka utajiri..........dadeki ninyimwe vyote sio hi starehe
 
Umeisha!!! Badala ya furaha itakuwa kilio. Bora kuishi miaka 30 maskini kuliko kuishi mwaka mmoja tajiri. Its a waste of life
Inategemea na umri. Kama tayari una miaka 70 huo mmoja unatosha sana unawaachia mali watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…