We jamaa ndio wale wajomba darasan walikuwa wanakaa sana na mademu full time . Jamaa unavitabia flani vina kera kinyama. Au bado unakaa kwa shemeji ako ...mbona una gubu kama mdada ??And you think that you are already educated? Kiswahili tumekufundisha na bado hata unaandika unakosea. Acha kiingereza its not your mother tongue i cant blame you for that. Hii dunia tenda wema wende. Unajiona tayari nawe ni super star? Umetukuta lakini.
Well saidSimjui na sijawahi kumuona ni ananishobokea tu anataka umaarufu kupitia mimi.
Mkuu jamaa anakera , ye alileta kistory cha kufika south Africa,akapata demu mzawa akashobokewa sisi tulivunga tuu na Wala hatuku mzodoa sa sijui yeye huu wivu katoa wap mbwa huyu ..Kwenda huko Acha kujipa umuhimu kwenye Maisha ya watu, ungekuwa umeshiriki kivyovyote vile katika Maisha ya jamaa basi usingekuwa na chuki za wazi namna hii Kwa jamaa
Ungekuwa unajuana na mshkaji naimani tofauti zenu mngezimalizia huko huko mlikofamiana na sio nyuma ya keyboard
Unaonekana una wivu sana juu ya Mwamba,We pia ulikuwa na vistory vyako uchwara na watu tukasoma ila hukubahatika kutrend kama mshkaji na maisha ndio yapo hivo
Ata kama mnafanya kazi moja hamuwezi kuwa sawa, kila mmoja atabaki na upekee wake, kwahiyo badala ya kujenga chuki hebu angalia positivity za mshkaji ujifunze vitu ambavyo vitakusaidia katika uandishi wako nawewe
Umekazana na kumshtumu jamaa juu ya story zake kuwa ni za kutunga Tunga, sasa ili ujue kama kutunga story ni ngumu sana hebu kaendeleze story zako za kukopi na kupest huko ulipoziachia
Kwa sasa we kubali tu ata kimoyo moyo kuwa jamaa ni wamoto, sasa nawewe ingia chimbo ulete story wasomaji sie tupo tu ata ulete story ya vibata vidogo vidogo vinaogelea tutasoma tu
Kwaiyo wewe ukisema hivi ndio humdhalilishi mpemba ??? Acha ujuaji dada anguHoya dogo tuma episode nyingine. Na useme alichokufanya Mpemba Ami Ally Mahmoud. Si unasema hii ni true story? Sema yote sasa. Mi nasubiria nione kama utaandika yote.
TUMA EPISODE NYINGINE KWA HARAKA KIDOGO.
Sawa mkuuPanda kilimanjaro bus lita kufikisha chuga kisha panda kifodi cha kwenda kisongo, kuhusu nauli waambie unaenda kuchukua milioni kwa nabii mkuu so utawalipa baada ya kupokea milioni yako.
Na likija linaweza kuomba mbususuNakwambia ccy jana usiku nililala nmewasha taa ya chooni lkn bado nahisi dude litatokea kabatini.
Nkafungua kabisa mlango.
Ntalitafutia dada poaNa likija linaweza kuomba mbususu
Tumekufundisha hadi kuongea bado unakosea.siyo Utindio ni mtindio wa Ubongo.
Leta story hapa nakusubiri udanganye nikuchane .... Leta episode dj....leta maneno.
Kwaiyo ukahisi master keshanyofolewa kimba?😆Hapo kwenye kichupa cha Gryceline nilishtuka kidogo
Bado haileti maana hiyo dhana yako, kama ni hivyo kwanini wakati amesafiri alimwachia Umughaka kazi ya kununua mboga za huyo kiumbe, kama ni kuwasiliana na mganga wake si angewasiliana nae tu.
Nyie ndio mnafanya mwamba asiendelee kuleta nyuzi hapa.mkuu ni story tu ya kufikirika japo yeye kasema ni mambo aliyopitia.kwahiyo wewe pita ingekuwa kama unavyotaka aelezee kusingekuwa na watunzi kabisa wa hadithi au sinema.Zanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.
Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.
Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!
Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Hii ni story tu mkuu. Soma uburudike na usipende kuhoji kila kitu. Inawezekana katumia kisiwa x wakati tukio lilitokea kisiwa Z. Hata Ally mpemba ni jina tu kampachika. Tusome hadithi tueleweZanzibar kuna Chumbe mbili.... moja ni kisiwa kabla ya kufika Unguja na Chumbe ya pili ipo karibu na Mbweni katika barabara ya kwenda Entebbe.
Master naona kashindwa kabisa kuelezea ni Chumbe ipi alikwenda! Kama ni Chumbe ya barabara ya kwenda Entebbe, hiyo haina msitu na bahari ipo mbali kidogo aidha eneo lote toka Chumbe hadi ufukweni kumejengwa, hivyo basi hakuna msitu wa aina ya simulizi ilivyosema.
Kwa upande wa kisiwa cha Chumbe, ni kisiwa kisichokaliwa na wenyeji, zamani wavuvi walipita hapo baada ya shughuli zao za uvuvi na ndio sababu kuna msikiti kisiwani hapo. Zaidi ya msikiti kuna mnara wa kuongezea meli na vibanda vya hoteli ya kitalii. Ni kisiwa ambacho kipo chini ya uangalizi na kinasimamiwa na kampuni binafsi!
Sijui Master alikwenda Chumbe ipi! Kama kuna mtu anajua ni vema akatufahamisha.
Sina lengo baya, pengine kwa haraka hakuweza kuweka bayana ni Chumbe ipi alikwenda!Hii ni story tu mkuu. Soma uburudike na usipende kuhoji kila kitu. Inawezekana katumia kisiwa x wakati tukio lilitokea kisiwa Z. Hata Ally mpemba ni jina tu kampachika. Tusome hadithi tuelewe
Kwa ufupi Master hana nia ya kutoendelea na simulizi hii ya Ukweli. Aidha katika simulizi zake za awali alikubali kurekebishwa na hasa eneo la mji, vitongoji na hata vijiji alivyopita.Nyie ndio mnafanya mwamba asiendelee kuleta nyuzi hapa.mkuu ni story tu ya kufikirika japo yeye kasema ni mambo aliyopitia.kwahiyo wewe pita ingekuwa kama unavyotaka aelezee kusingekuwa na watunzi kabisa wa hadithi au sinema.
Mzee kausha.Uelewa mzuri wa kisiwa cha Unguja.