Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Huyu Chizi Maarifa ni falah sana. Mharibifu hana maana... Yaani ndo anacho enjoy tu kutukanwa n.k umugaka usitishwe na huyo jambazi leta uzi hapa watu waburudike. Huyo chizi alikimbia mirembe anatafutwa sana huko. Ni lijimaa la hovyo hovyo tu halina akili linaliwa pesa zake na mademu sababu ya mambo ya kutafuta ugomvi kwa watu
 
Kwenye mambo ya kichawi unaweza ona msitu mnene posta... so relax and enjoy broh
 

Dope
 

Oky
 
Kuna watu ni wajuaji humu hadi kero!!! Kila mtu analazimisha kuwa great thinker. Someni story mkalale kha! Yaani mtu anajifanya anachambua hadi basi. Mara utaskia Znz ukifika hawavai viatu vyeusi wewe ulivaa viatu gani😏 yaani ujuajiii
Asiongeze chumvi tu! Mambo yatakuwa sawa!

Mfano hiyo safari yake ya kwenda Chumbe imejaa ukakasi..
 
Gambushi kuna magorofa na mataa kuliko dar,ni katika ulimwengu wa kufikirika lakini.
Hizi ni hekaya majina yq watu na vitu havina uhusiano na ukweli relax
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…