Wewe,embu mwache mume tarajali huyu mwenzioHadi hapo tulia dawa ijakukolea bado.
Mhhhhhh mhhhhh mhhhhh mhhhhhhWewe,embu mwache mume tarajali huyu mwenzio
Wachumba ninao wengi humu,mume mmoja😂😂😂Aaah juzi siulisema ety ooh Lovelovie mim nina mchumba angu fulani ukamtag kabisa nkasema oooh haya.
Hujui nilikua nakupaka mafuta kwa mgongo wa sparleta
Aah ulisema ni mchumba na ni mumeWachumba ninao wengi humu,mume mmoja😂😂😂
Usiku mwema...mchango unakuhusu😉Mhhhhhh mhhhhh mhhhhh mhhhhhh
Ni kindengereko tata😎Kwa hiyo haujaelewa alichokiandika?
Mishuzi mingi uyo😂😂Kwa hiyo haujaelewa alichokiandika?
Mbona kama unanikomoa shem darling...? Kuwa na upendo hata kidogo maana mtu mzima kulia ni jambo la aibuHadi hapo tulia dawa ijakukolea bado.
Hii Siri si umeniambia wewe lakini😅😂😂😂ngoja akusikie na mama J wake.Mi simo...nitasimama palee
😂🙆Jesus!!!Hii Siri si umeniambia wewe lakini😅
😂😂😂😂😂 AAA ila nimecheka wajamenUMUGHAKA , shusha madini .. uzi wako umegeuka gulio
Sawa mkuu lakini neno sahihi ni lipi? Binafsi huwa sipendi kuchanganya r na l, kama wajua naomba msaadaKulogwa ni sawa tu na kurogwa yaani hayo maneno yanabeba maana moja, hivyo unaweza kutumia neno lolote katika hayo na ukaeleweka
LSawa mkuu lakini neno sahihi ni lipi? Binafsi huwa sipendi kuchanganya r na l, kama wajua naomba msaada
Cha muhimu hapa ni kuwaomba Mods wafunge huu uzi ili kupunguza hili gulio.UMUGHAKA , shusha madini .. uzi wako umegeuka gulio