Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Sasa Master umeahidiwa gari na wewe ndo unalisha mzimu kule chumbani wewe ndo supervisor wa catering halafu unasafiri kwenda mbeya
na hujaonyesha kuaga kwa boss
Sasa Master umeahidiwa gari ,na wewe ndo unalisha mzimu kule chumbani wewe ndo supervisor wa catering halafu unasafiri kwenda mbeya, sa itakuwaje ukihitajika
na hujaonyesha kuaga kwa boss
 
Nimeanza kazi ya kuchunguza watu wenye hela ambao niko karibu nao, kuna super agent wa Tigopesa, Airtel money, m pesa na Halo pesa yule jamaa ana mìaka around 34 ila hata utake kutoa milioni 10 wala haumizi kichwa anakwambia toa, nimemchunguza ana hiyo bangili ya chuma mkononi,nimejifunza kitu hapa, utajiri wake ulikua unañifikirisha sana sasa nimeanza kupata majibu kupitia uzi huu
 
Mkwapue hiyo bangili, ukimbie nayo kwako.
 

Hizo bangili za Copper (zilizokaa kienyeji) mara nyiingi hutumika pia kuzuia nguvu za giza na uchawi unaotupwa kwa wavaaji, 100% huusika na maswala ya kishirikina.
 
@U
UMUGHAKA hapa inabidi atoe ufafanuzi ilikuwaje?
 
Lile Monster ni lidume so hapa umagaka anaachiwa majukumu ya kulihudumia maana huwa yanakuwa kila baada ya week mbili yanataka yashushe cream.

So hapo ndipo nadhani yule chizi alikuwa anasema kuwa jamaa aandike yote asifiche kitu....
 
Mtu anapokuomba umsitiri maana yake anakuomba umfichie aibu zake.
Maana nyingine anakuomba umsaidie kwenye mapungufu/mahitaji yake
Yaani hapo jamaa anamkabidhi Umagaka jukumu la kutuliza hamu ya lile monster la kiume. Daaaahh.... Haya mambo haya. Unajua majini ya kike huwa yanakuwa marembo.

Ya kiume ndo kama hilo la Mpemba sasa linataka kukaza jicho....jamaa anaachiwa majukumu. Angekuwepo Chizi angesema yote humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…