Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Huyu jamaa sio mkurya haki ya nani [emoji23][emoji23][emoji23] ukishakua mtu wa musoma huwa kuna k
hasira flani iko kwenye damu, ningemgecha jamani uwiii aaah
 
Duh! Ni nafuu kwa yule aliyekula makombo ya SEMAJI, kuliko hayo ya kwa ALLY MPEMBA!
Mayaa atakuwa mtamuu sana, kuliko wa SEMAJI mie mwenyewe nime mtamani maya, kitu itakuwa tight haitumiki hovyo hovyo ile.. plus ule mchakula anaokula unaongeza sana utaaamu wa tamu. na imagine hapa taswila ya maya nadinda tu
 
Wakuu habar za mwamko, msijali jamani tuko pamoja itakapo timia saa tano asubuh nitatuma mwendelezo wa pale tulipo ishia story yetu kaa karibu mwenye kuagiza popkon na aagize na mwenye kuagiza mihogo aagizie mapema isije ikaisha
Mi' nashauri, kwa yeyote anayetaka kutuletea hadithi hapa, awe amejiandaa. Hayo mambo ya tutaendelea..... Yabaki kwenye TV na magazeti.

Wakongwe wenzangu watakumbuka enzi zileeeee za gazeti la SANI, lilikuwa halina siku maalumu. Laweza kutoka leo, litalofuata, basi ni baada ya mwezi, au hata baada ya miezi mitatu!
Basi, wasomaji wa hadithi pendwa zile za akina SAID BAWJI, NICCO YE MBAJO pamoja na ile michoro ya PHILIP NDUNGURU, mtasubiriiiiii weeeee, mpaka mnasahau mlipoishia!
Haya mambo ya… TUTAENDELEA… wasimuliaji wetu, tuyapunguze!
 
Masta alisema Maya ananuka sa sijui itakuaje
kila kitu kina harufu, ni mtu tu anavyo amua kuzi twist pua zake.. kama Allly mpemba alikaa na Maya chumbani masaa mawili anamkamua nini kinashindikana 😊😊😊.. huyo namlamba kila kitu anakuwa msafii ndio napeleka guruneti sasa .. wa hivyo huwa watamu sana maana migenye kama yote.. au nasema uwongo Antonnia
 
Kweli dunia imefika ukingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…